Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania dhidi ya shillingi ya Kenya

Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania dhidi ya shillingi ya Kenya

Uchumi mzuri ni zaidi ya thamani ya pesa kuwa kubwa au ndogo.

Uchumi mzuri ni kuwa na mkakati wa kupata fursa katika hiyo thamani ya pesa, ikiwa kubwa au ndogo.

Ndiyo maana China anang'ang'ania hela yake Yuan iwe na thamani ndogo, bila kufuata market forces. Kwa sababu Mchina anajua thamani ndogo ya Yuan itaongeza export anavyotaka.

Tanzania tuna tatizo la kukosa mkakati. Pesa inapopungua thamani watu wanalalamika vitu vinapanda bei, na nchi haina exports nyingi za kuitumia vizuri hali hiyo.

Pesa inapopanda thamani, ndiyo kama hivi, wazalishaji wa ndani wanazidiwa na bidhaa zenye bei rahisi za nje.
 
Hujui hata use macho wewe mbulula.

Unafikiri kila kitu kinapangwa na UVCCM?
Haya mambo ni makubwa kwa upande wako nenda kajadili kupokea vitendea usafi kwa mkuu wa Majeshi asiyetaka usafi usitoke nje!
 
Hapo TRA anatakiwa kuhakikisha bidhaa za Kenya zinapigwa kodi ya maana ili zinapoingia huku kwenye soko letu kuwe na urari au mizania na bidhaa za ndani.

Lasivo, kuporomoka kwa fedha ya Kenya kutaumiza viwanda vya Tanzania maana bidhaa zake zitakuwa expensive dhidi ya bidhaa za kenya.
Umeongea kiuchumi sana,big up mkuu
 
Fafanua viziri mzee .
Umeinunua hiyo ksh au umiuza?

Maana mimi 29.12 nilinunua ksh kwa tsh. Kwa rate ya ksh 1 kwa tsh 25.


Tarehe 7.1 nikauza ksh 1 kwa tsh 14. Sasa naomba ufafanuzi ingawa inawezekana.
mkuu lini hii? kama hivi karibuni umepigwa
 
Back
Top Bottom