Kuingiziwa vidole ukeni.

hii kazi niliitamanigi ila nikaikosa aisee hawa madokta wanapata raha sana
 
sasa bora cha mbele...kuna kile cha tigo eti wanaangalia kidole tumbo!
mkuu shosti kuwa makini, siku nyingine utastukia badala ya kidole, abdallah kichwa wazi ameshaingia tigoni, hahahaa
 

Umeeleza vizuri nikavutika na utaalam wako ila hizo paragraph mbili hapo juu ''hujafanya vyema kutoa siri ya mgonjwa'' pia inaonyesha maadili hamna kwa kumkomoa mgonjwa kisa muonekano na tabia. Kama wewe ni Daktari basi timiza wajibu wako na weka maadili mbele ni jambo jema, hizo mbwembwe waachie wenyewe Mkuu. Utaleta gari yako garage na mie nikupige spare fake utajisikiaje? au niseme gari litapona baada ya siku 2 ili kukukomoa tu...haipendezi!
 
Mwingine huyu hapa....Hovyooo.baba zima point za utumbo

mkuu shosti kuwa makini, siku nyingine utastukia badala ya kidole, abdallah kichwa wazi ameshaingia tigoni, hahahaa
Si ndio huduma mnayoitaka
 
Hahahaha,mbona hiyo ni kawaida,tena ukibeba mimba,DR anaingiza vidole kuangalia njia.

Duuuh! Ntaua mtu, yaani jamaa anaingiza vidole kwa waifu? Ngoja nijifunze kucheck nimpime mwenywe aisee...Dah! Wacha Serikali iwasumbue kumbe washenzi sana hawa jamaa...
 
Mi nadhani ni sawa si daktari bana nda mbele ya daktari na ugonjwa hamna aibu. na uzuri umesema alivaa gloves ambayo kwako wewe inaonekana kama ilikukera...sasa swali ulitaka akupime mikono kavukavu au? na kwa kawaida madaktari huvaa gloves sasa sijui kwa nini ulikasirika.

Hiyo ya kuvua nguo zote nayo hmm haijakaa sawa kwani ulikuwa unepelekwa theatre?

kama mwanamke mwenzio hamna ubaya wowote usiwe na shaka. pia alikuwa anacheki kama una uvimbe ndani ndo maana vidole vikafanya kazi.
 
mkuu shosti kuwa makini, siku nyingine utastukia badala ya kidole, abdallah kichwa wazi ameshaingia tigoni, hahahaa
kichwa waziiii thubutu...mara ya kwanza nilitoa mjicho ila nikagundua ni kipimo cha kawaida baada ya kufanyiwa zaidi ya mara moja na madr tofauti mwingine wa akiwa jinsia yangu
 
kichwa waziiii thubutu...mara ya kwanza nilitoa mjicho ila nikagundua ni kipimo cha kawaida baada ya kufanyiwa zaidi ya mara moja na madr tofauti mwingine wa akiwa jinsia yangu

Kheee....sevelar times?? Uwiiii....nilifikiri once and for all, its done. Kwahiyo umeisha zoea sasa huogopi tena?? Na labda huwa unamiss heee?? Hahah!Kweli ukistaajabu ya Chenge, subiria ya Jairo!
 

thanx thats what we need at JF
 

boss sijatangaza siri ya magonjwa hapa sijataja jina na wala sijataja mahali anapoishi, na hii nimeitoa kama experience ili huyu aliyejisikia vibaya ajue hakuna Dr mwenye nia mbaya ila lengo ni kumsaidia. Wakati mwingine naweza ona kitu ambacho mgonjwa hakijui. Hili ndo lengo la kutoa ushuhuda.
Kuhusu nyingine hiyo nyingine is just chit chat, hata unapofundisha ni vema ukaishia na kibwagizo ili kukazia maarifa. Nimeamini kumbe umeelewa maelezo yangu. Good my student
 

Nimekusoma Mwalimu. Nasubiria test na mimi nimdumbukizie mmoja! Hahaha...
 
Watu wengine ni wa ajabu kweli..ushamba tu unawasumbua na ulimbukeni


Kweli ZD,

Kuna watu wanatoa comments za ajabu ajabu utadhani wamekurupushwa usingizini....

Jambo la kusikitisha wanasahau kuwa hivi vitendo vya hovyo wanavyofanyiwa wanawake na madaktari hewa (vihiyo) havibagui...hata dada zake, mama yake au mke wake wanaweza kufanyiwa hayo. Je atawapa comment kama hiyo ??

Hata hivyo tuwashauri sana dada zetu kwamba kabla ya kufanyiwa uchunguzi wa njia ya uzazi (PV) waombe maelezo ya kutosha especially kama anayefanya ni daktari wa kiume. Na kama hawaridhiki wasikubali kabisa..Bora waende mahali pengine!!

Ila nasikitika kuwa kuna baadhi ya madaktari wa kike ambao ni wakatili na wanaweza kuwafanyia wenzao mchezo huo kama njia ya kuwadhalilisha!!

Babu DC!!
 

Hili ndilo nililolisema hapo juu....Wapo madaktari kibao ambao wanatumie silaha ya huu uchunguzi kuwadhalilisha wadada wa watu ambao labda wanaona kama wamewazidi viwango....

Ni upuuzi wa hali ya juu ingawa wenyewe wanaona kama ni kawaida vile!!
 
Hahahaha,mbona hiyo ni kawaida,tena ukibeba mimba,DR anaingiza vidole kuangalia njia.

Kama kupima njia wakati wa mimba sawa ingawa sheria inamtaka mkunga wa kike afanye hivyo, ni wakati umefika sasa iundwe sheria kuwalinda wagonjwa na ikiwezekana mambo ya magonjwa ya wanawake na hasa yanayohusisha kufanyiwa mambo kama hayo yafanywe na Daktari mwanamke, siku hizi ni hatari maana watu wanatawaliwa zaidi na tamaa za ngono hata katika fani kama hizo nyeti, haipandi kichwani katika kipimo hicho alichofanya huyo daktari, na sheria ianataka nesi awepo katika mazingira kama hayo, inasikitisha sana, na kukatisha tamaa
 
........Hiyo ni kawaida mbona, tena ukija kuwa mjamzito ndio kabisa, kama wewe unaona aibu bora kwenda kwa daktari wa kike. Vile vile usisahau kufanya pap smear, tunashauriwa wanawake kufanya kila mwaka hichi kipimo.
 
A host of ethical issues bordering on a thinly medically disguised rape.

At the minimum, such procedures should be performed by a professional of the same sex, not that a butch gyno couldn't raise the same concerns.
Even when performed by a male Gynecologist the presence of a female professional (Med Doctor au hata Nurse) is required.
Furthermore walitakiwa kumwambia about all other alternatives that exist to that examination method...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…