Kuingiziwa vidole ukeni.

Kuingiziwa vidole ukeni.

Hapo ndo alipoharibu,
though maelezo yake mengine ni sahihi kabisa.

Dawa ya sikio, si kama nimeharibu ila siwezi kutoa maneno makavu matupu ukashindwa kucheka afu usielewe. Mwisho wa somo natoa kibwagizo kidogo ili ukitabasamu utanikumbuka kuwa Mupirocin alisema vitu kama hivi. Hizi paragraphs mbili ilikuwa ni chit chat mkuu, mimi ni Dr na mwalimu pia. Nawashukuru kwa kunielewa na kutambua mchango wangu. Be blessed
 
Na male patient at the age of 45 years and above ni muhimu kupata digital rectal examination at least once a year!

Wengine kidhungu kinatugonga, tena hicho cha kitabibu ndio kabisaaaa, hiyo hapo juu kwa Male ndio nini? Kwamba namtest Nesi mbele ya dokta kama bado inasimama dede au??? Nauliza tu Bwana Tabibu......
 
Ninachojua mimi jamani kuna kifaa kipo kama pamba ya kutolea uchafu masikioni ila yenyewe ni kubwa kidogo ambayo hutumika kutoa vipimo kutoka ukeni!!

Mkuu ndio maana Matabibu wamegoma....hizo pamba hamna mkuu....wanalaumiwana wagonjwa ndio maana wameamua bora lawama kuliko fedhea, waonekane wanatamani kuwatia vidole wagonjwa wakati ukweli vifaa hamna.......?? Balaa tupu!
 
Kwa mwanamke anapoumwa tumbo chini ya kitovu inahitaji gynaecological examination. Steps zake ni hizi.
  1. Abdominal palpation. Kuachunguza kama pain ni localised, On deep palpation, Rebound tenderness.
  2. Examination ya external genitalia. Smell, secretions etc
  3. Insertion of 2 finger inside the vaginal canal- cervix, os, anapotoa vidole ananusa for smell
  4. Kuingiza kidole njia ya nyuma. Vyote hivi vinafanywa kwa consent ya patient in the presence of a certified nurse. Hii ni mukhtasar tu. Anything more contitutes to rape. Wakina dada mkija kuniona hospitali na nikifanya kinyume na haya nishtakini haraka sana ili nipate adhabu nitakayo stahili. Lakini usistaki uongo kwa kunisingizia.
 
Dawa ya sikio, si kama nimeharibu ila siwezi kutoa maneno makavu matupu ukashindwa kucheka afu usielewe. Mwisho wa somo natoa kibwagizo kidogo ili ukitabasamu utanikumbuka kuwa Mupirocin alisema vitu kama hivi. Hizi paragraphs mbili ilikuwa ni chit chat mkuu, mimi ni Dr na mwalimu pia. Nawashukuru kwa kunielewa na kutambua mchango wangu. Be blessed

Hahaha...Mwalimu wangu umeng'ang'aniwa...hahaha...waombe MODs wa-edit hizo paragraph mbili zitolewe, hutatoka salama mkuu wadau wamekuja juu...uliniambia uko hospitali ipi tena?? Jibu kwenye mabano hamna atakaeona...unaninong'oneza..hahaha!
 
Dawa ya sikio, si kama nimeharibu ila siwezi kutoa maneno makavu matupu ukashindwa kucheka afu usielewe. Mwisho wa somo natoa kibwagizo kidogo ili ukitabasamu utanikumbuka kuwa Mupirocin alisema vitu kama hivi. Hizi paragraphs mbili ilikuwa ni chit chat mkuu, mimi ni Dr na mwalimu pia. Nawashukuru kwa kunielewa na kutambua mchango wangu. Be blessed



Kwa maelezo yako ya awali tu sikuwa na haja ya kuambiwa wewe ni dr. Dr utamjua tu hata akivaa uniform ya mgambo.
Pamoja sana mkuu!
BE BLESSED TOO!
 
Mkuu ndio maana Matabibu wamegoma....hizo pamba hamna mkuu....wanalaumiwana wagonjwa ndio maana wameamua bora lawama kuliko fedhea, waonekane wanatamani kuwatia vidole wagonjwa wakati ukweli vifaa hamna.......?? Balaa tupu!



Side wewe !!!
 
Hahaha...Mwalimu wangu umeng'ang'aniwa...hahaha...waombe MODs wa-edit hizo paragraph mbili zitolewe, hutatoka salama mkuu wadau wamekuja juu...uliniambia uko hospitali ipi tena?? Jibu kwenye mabano hamna atakaeona...unaninong'oneza..hahaha!



tehe tehe tehe !
Ticha kajaribu kutuelimisha lakn tumekosa shukrani.
JF ni noma !!!
 
Hiyo ni procedure ya kawaida inayofanywa na Gynecologist.

Another part of your annual pelvic exam is called a bimanual exam. This test is performed when your gynecologist inserts two fingers into your vagina and places the other hand on top of your lower abdomen, while feeling for any abnormalities that might have occurred since your last pelvic exam. During this part of your examination, your doctor checks the size, shape, and mobility of your uterus. Changes in your ovaries, such as ovarian cysts may be detected during the bimanual exam, as well as other uterine changes including endometriosis,fibroid tumors, or other common uterine conditions.




Tena kwa wanaume kuna procedure ya kucheki afya ya prostate hii inafanywa kwa kuchomeka kidole nyuma na kuigusa prostate kuangalia size na shape yake.
 
Acha kulalamika wewe dada bila ya kuelewa. Kwanza inaonekana wewe bado ni mdogo au hujaugua na kuonwa na daktari.
KwaUfupi ni kwamba ninapomwona mgonjwa kwanza nitachukua case history ambayo inatoka kwa mgonjwa mwenyewe na baada ya hapo kinachofuata ni kufanyiwa uchunguzi we call physical examination hiyo inajumuisha vitu vingi tu na kwa mwanamke huwezi kumaliza huo uchunguzi bila kumfanyia vaginal examination na zaidi mno mtu anapokuja na maumivu njia za siri ambapo inaweza ikawa ni UTI au other gynecologicall issues na kama tukihisi labda una matatizo ya kansa ya uzazi au kibofu cha mkojo basi ni lazima DRE( Digital rectal examination) kifanyike . Kwa hiyo wewe kufanyiwa hivyo haina tatizo kabisa kwanza ushukru dr. ametumia Sterile gloves kitu ambacho ni safe kwako.wala msijidanganye eti lazima umwone dr. mwanamke huo uchunguzi unafanywa na madaktari wote , subiri pindi ukishika mimba ndio utajua nini ninachokuambia.
NatumainiNimeelezea kidogo.
Leo nlienda dispensary, nikiwa nahisi maumivu makali kwenye kipofu, nlihisi ni UTI (sijui kitaalam), baada ya kumweleza doctor tatizo langu aliniambia nivue nguo zote kisha nipande kitandani. Kilichonikera zaidi ni kwamba alivaa gloves, na kuniingizia vidole kwenye uke, kimsingi alikuwa ananiumiza, nlipo mweleza akaniambia hayo ni mambo ya kawaida huku, kisha akasema alikuwa anachek kama kuna uchafu. Naamini kuna madaktari Jf, naomba msaada ili nifaham,

1)Je ni utaratibu unaokubalika kutumia vidole kumpima mtu anyehisi maumivu ya kibofu?
2) Ni uchafu wa aina gan angeweza kuubaini kwa vidole vyake?


Naomba ushauri wa Dr.
 
Nikawaida kwa MAGONJWA kama hayo kuna kitu kama stick daktari anakitumia kuangalia uchafu na kina vipimo vyake kutokea kwenye kizazi hivyo dkt ana angalia kuenea kwa tatizo karibu na kizazi ili upate tiba muafaka.sasa kwa mkono sijui labda hakuwa na kifaa hicho na anaweza kukadiria sentimita kwa kidole.kwani wewe huja zaa mpaka unaogopa dkt kuweka kidole?
Please, kuna uhusiano gani kati ya kuzaa na kuingiziwa vidole, naomba msaada kuelewa kwanini hasa vitumike vidole? Tena baada ya kuvua nguo zote?
 
DR mmoja hospitali nzima.. bado mnataka na third party? kama kakutibu umepona toa shukrani... vipimo kwa vidole ukeni ni kawaida sana kwa nchi zetu hizi ambazo diagnosis zinafanyika manually na hakuna mtu anataka kuona uchi wako au kuingiza kidole chake uchini mwako kama hakuna sababu za msingi..
Napenda kuelewa zaidi na hakika ntajitahidi suala hili lifike panapoweza kulipatia ufafanuzi zaidi na kuwa msaada kwa wanawake wahanga wa namna yangu, ili iwe sehemu ya ukombozi wa Mtz wa kike.
 
Kwa mwanamke anapoumwa tumbo chini ya kitovu inahitaji gynaecological examination. Steps zake ni hizi.
  1. Abdominal palpation. Kuachunguza kama pain ni localised, On deep palpation, Rebound tenderness.
  2. Examination ya external genitalia. Smell, secretions etc
  3. Insertion of 2 finger inside the vaginal canal- cervix, os, anapotoa vidole ananusa for smell
  4. Kuingiza kidole njia ya nyuma. Vyote hivi vinafanywa kwa consent ya patient in the presence of a certified nurse. Hii ni mukhtasar tu. Anything more contitutes to rape. Wakina dada mkija kuniona hospitali na nikifanya kinyume na haya nishtakini haraka sana ili nipate adhabu nitakayo stahili. Lakini usistaki uongo kwa kunisingizia.

Ubarikiwe mkuu!
 
Please, kuna uhusiano gani kati ya kuzaa na kuingiziwa vidole, naomba msaada kuelewa kwanini hasa vitumike vidole? Tena baada ya kuvua nguo zote?

Pole mleta mada hiyo ndio bongo zaidi ya uijuavyo sahau samehe then songa mbele, ila kwa inavyoonyesha hujapata mimba bado, sasa jiandae kwa zoezi hilo pindi upatapo mimba utaingiziwa vidole vinne just kuchek njia karibu kila baada ya wiki mbili.
 
Tena kwa wanaume kuna procedure ya kucheki afya ya prostate hii inafanywa kwa kuchomeka kidole nyuma na kuigusa prostate kuangalia size na shape yake.[/QUOTE]

kwenye red hapo ni ktu gani?
 
MUPIROCIN nilidhani wewe ni Doctor kumber ni hao hao.''Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.'' Imekaaje hii wenzangu

imekaa kulipa kisasi zaidi.
 
Back
Top Bottom