Ehee na mbinu za kumtoa zitaje
Nini kifanyike, usiishie kulalamika tu
Itatoka tuu
Bungeni kwa nini budget mbadala hazisomwi kwa kuwa zitawaamsha watanzania ..Spika atafanya kila ya aina ya figisu zisisomwe..amka Mtanzania hao Chadema kuna watu wanaakili balaa..umeona kilichomtokea Seif..Chadema walizima kwa kumpinga Magufuri..Wale CUF wakaingia mitiniMkuu sio kwamba watu hawaoni matatizo ya ccm ila watu hawaoni chama ambacho kinaonesha muolekeo wa kuwa ndio mbadala wa ccm,vyama vingi vinaonekana tu kutaka kuiondoa ccm na kuingia wao madarakani ila havioneshi kama vina masuluhisho na kwanini tuwachague wao? na ndiyo maana huwa inaonekana kama kuchagua upinzani ni kama kufanya majaribio.
Kwahiyo unataka kusema kwamba Chadema ndio inafaa kuwa chama mbadala wa ccm? na kwamba Chadema ndio suluhisho?Bungeni kwa nini budget mbadala hazisomwi kwa kuwa zitawaamsha watanzania ..Spika atafanya kila ya aina ya figisu zisisomwe..amka Mtanzania hao Chadema kuna watu wanaakili balaa..umeona kilichomtokea Seif..Chadema walizima kwa kumpinga Magufuri..Wale CUF wakaingia mitini
😲😲??!!Kuingia wapi 😳?
Tumpe kura Lisu ,unataka umpe Nani?Habari za jion wakuu,
Kama nilivyoeleza hapo juu kiukweli nimejitahidi kufatilia hizi vuguvugu za uchaguzi kupitia vyama vyote vikiwemo vya upinzani na hata chama tawala nikakaa nikawaza nikasema hapana ngoja niandike kitu..
Jamani napenda kusema kwamba tusijidanganye kama CHADEMA wanaweza kukitoa chama tawala kilichoshikilia dola kwa staili hii wanayoenenda nayo, nasema tena nikujidanganya kwa kiwango cha barabara za mkulu.
Kwasababu moja ambayo nadhani wapinzani wanaijua au hawaijui kwanini nasema hivyo ni kutokana na huyo mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi ni kada tena kada kindakindaki
Mwaka 2015 aligombea jimbo la Ubungo kwa tiketi ya chama chake na hakufanikiwa kupata kura za kutosha na aliishia kupata nafasi ya 5 na baada ya hapo akaja kuteuliwa kuwa mkurugenzi Arusha na baada ya kugombana huko na mkuu wa wilaya huko ndiyo akaja kupewa hiko cheo alichonacho sasa hivi.
Sasa kwa mazingira kama hayo mnadhani hata ningekuwa mimi naanzaje kumkataa mtu ambaye amenipa ugali hahahahaha tuendelee kujichekesha maana safari bado kubwa sana.
Na kwa jinsi ninavyowaona CHADEMA wanavyofanya hizo kampeni zao ni kama hawakujiandaa kabisa tuwe tu wakweli kulidondosha jiwe kunahitaji support kubwa sana na mbinu lukuki za kampeni kwa staili yoyote ile.
Niwatakie kazi njema katika kulitumikia taifa na tuwe wazalendo wa kweli katika kuisogeza nchi yetu mahali panapostahili.
Pili aliwahi kuwa campaign manager wa mbunge Nilodi MkonoHabari za jion wakuu,
Kama nilivyoeleza hapo juu kiukweli nimejitahidi kufatilia hizi vuguvugu za uchaguzi kupitia vyama vyote vikiwemo vya upinzani na hata chama tawala nikakaa nikawaza nikasema hapana ngoja niandike kitu..
Jamani napenda kusema kwamba tusijidanganye kama CHADEMA wanaweza kukitoa chama tawala kilichoshikilia dola kwa staili hii wanayoenenda nayo, nasema tena nikujidanganya kwa kiwango cha barabara za mkulu.
Kwasababu moja ambayo nadhani wapinzani wanaijua au hawaijui kwanini nasema hivyo ni kutokana na huyo mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi ni kada tena kada kindakindaki
Mwaka 2015 aligombea jimbo la Ubungo kwa tiketi ya chama chake na hakufanikiwa kupata kura za kutosha na aliishia kupata nafasi ya 5 na baada ya hapo akaja kuteuliwa kuwa mkurugenzi Arusha na baada ya kugombana huko na mkuu wa wilaya huko ndiyo akaja kupewa hiko cheo alichonacho sasa hivi.
Sasa kwa mazingira kama hayo mnadhani hata ningekuwa mimi naanzaje kumkataa mtu ambaye amenipa ugali hahahahaha tuendelee kujichekesha maana safari bado kubwa sana.
Na kwa jinsi ninavyowaona CHADEMA wanavyofanya hizo kampeni zao ni kama hawakujiandaa kabisa tuwe tu wakweli kulidondosha jiwe kunahitaji support kubwa sana na mbinu lukuki za kampeni kwa staili yoyote ile.
Niwatakie kazi njema katika kulitumikia taifa na tuwe wazalendo wa kweli katika kuisogeza nchi yetu mahali panapostahili.
mbona wewe hujatekwaKutekana
author nan mkuuWewe mleta mada unaweza ukatueleza nchi za Africa ambako vyama tawala vimeangushwa ,kama Kanu ya Kenya , Unip Zambia ,Ghana , Malawi kwani ilitumika mbinu gani ? Kwanza CCM imejaa vilaza wa kutupa hawajui siasa wala mbinu zaidi ya kusaidiwa na dola , soma kitabu hiki hata mwenyekiti wako Jiwe hajawahi hata kukiona ngumbalu wa kihutu .View attachment 1565651
Kujiambua ndio lugha ganiMbinu za kuitoa CCM ni watanzania KUJIAMBUA NA KUINYIMA KURA HATA MOJA.
Nchi inapotenza utengamano wa kitaifa.
Rais analeta ukabira.
Kutekana.
Ajira.
Kuharibu diplomasia ya nchi.
Kukandamiza vyombo vya Habari na
UDIKTETA UCHWARA