Kuipita Marekani kwa utajiri ni ndoto ya kila taifa kubwa ila ki uhalisia ni kazi ngumu sana

Kuipita Marekani kwa utajiri ni ndoto ya kila taifa kubwa ila ki uhalisia ni kazi ngumu sana

maddox

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,086
Reaction score
4,669
Niaje niaje baada ya mdau mmoja hapa jukwaani kupost orodha ya matajiri nikajaribu na mimi kupitia katika ile top 20.

Marekani kaingiza watu 14 yaaani ilibakia kidogo wawe ni marekani tupu 1-20 harafu eti wanaibuka watu fulani wanasema China atakuja kuipita Marekani 2060

Hiyo ni alinacha kama sio ndoto zombie kwanza Musk tayari naona kavunja recoding ya Mansa Mussa yule tajiri zaidi kutoka Afrika magharibi maana jamaa wanakadilia kwa sasa angekuwa na 400 kavu sasa Musk imeongezeka 44.

Hapa China kijasho cha kwapa anacho mpaka mwisho

Screenshot_20241227_005936_Samsung Internet.jpg
 
Niaje niaje baada ya mdau mmoja hapa jukwaani kupost orodha ya matajili nikajaribu na mimi kupitia katika ile top 20 ..........daaa marekani kaingiza watu 14.........yaaani ilibakia kidogo wawe ni marekani tupu 1-20.........harafu eti wanaibuka mbwa koko fulani wanasema china atakuja kuipita marekani 2060.........hiyo ni alinacha kama sio ndoto zombie.......kwanza musk tayari naona kavunja recoding ya mansa mussa yule tajili zaidi kutoka afrika magharibi maana jamaa wanakadilia kwa sasa angekuwa na 400 kavu sasa musk imeongezeka 44.................hapa china kijasho cha kwapa anacho .........mpaka mwisho
una hoja,
Lakini athari za lahaja zimefanya kuwepo dosari kadhaa katika kuumba baadhi ya maneno kwenye hoja yako, kuanzia kwenye kichwa cha bandiko hadi kwenye maudhui yenyewe..

hata hiyo,
marekani itasalia nchi yenye nguvu zaidi duniani kiuchumi, kisiasa na hata kijamii, ukilinganisha na mataifa mengine 🐒
 
Hapa china inabidi akajifunze kutafuta brand zake quality sio kukopi kopi mara range mara iPhone mara tv na makolokolo kibao...........jamaa ni bingwa wa kukopi ila kwenye kubuni jamaa ni vichwa panzi..........kama sisi tu huku afrika.........unasikia huyu msomi kweli.......kalaza shahada kadhaa akifungua biashara basi anaweka pesa kwenye boda boda ili kira siku apate 10k......sasa unajiuliza huyu kweli alielewa darasani au mkremisho mwanzo mwisho
 
Uandishi wako una changamoto, lakini umeeleweka.

Binafsi, naamini utafika muda nae marekani atashuka tu, tutapata mbabe mwingine wa dunia, kina genghis khan na mongol empire yake, kwapi warumi, wapi ottoman, inawezekana ikawa sio leo wala mtondo-goo ila atashuka tu.
 
Niaje niaje baada ya mdau mmoja hapa jukwaani kupost orodha ya matajiri nikajaribu na mimi kupitia katika ile top 20.

Marekani kaingiza watu 14 yaaani ilibakia kidogo wawe ni marekani tupu 1-20 harafu eti wanaibuka watu fulani wanasema China atakuja kuipita Marekani 2060

Hiyo ni alinacha kama sio ndoto zombie kwanza Musk tayari naona kavunja recoding ya Mansa Mussa yule tajiri zaidi kutoka Afrika magharibi maana jamaa wanakadilia kwa sasa angekuwa na 400 kavu sasa Musk imeongezeka 44.

Hapa China kijasho cha kwapa anacho mpaka mwisho

View attachment 3185901
Projection ya uchumi wa dunia ya miaka 50 ijayo inasemaje au tuongeze tufanye miaka 100 ijayo ?
 
Niaje niaje baada ya mdau mmoja hapa jukwaani kupost orodha ya matajiri nikajaribu na mimi kupitia katika ile top 20.

Marekani kaingiza watu 14 yaaani ilibakia kidogo wawe ni marekani tupu 1-20 harafu eti wanaibuka watu fulani wanasema China atakuja kuipita Marekani 2060

Hiyo ni alinacha kama sio ndoto zombie kwanza Musk tayari naona kavunja recoding ya Mansa Mussa yule tajiri zaidi kutoka Afrika magharibi maana jamaa wanakadilia kwa sasa angekuwa na 400 kavu sasa Musk imeongezeka 44.

Hapa China kijasho cha kwapa anacho mpaka mwisho

View attachment 3185901
Kila kitu na wakati wake Bill Gate was once a richest man in the world but now yupo nafasi ya Saba akipigwa gape la mbali sana na Elon Musk.
 
China inapambana kwenye viwanda, technology, japo ni ngumu kuupindua huo mkeka ngoja tuone
 
Marekani ina idadi kubwa ya matajiri kuliko China kwa sababu kadhaa zinazochanganyika:

• Historia ya uchumi wa soko la bure: Marekani imekuwa na mfumo wa uchumi wa soko la bure kwa muda mrefu zaidi kuliko China. Mfumo huu, licha ya mapungufu yake, umewapa fursa watu binafsi kujitajirisha kupitia ujasiriamali na uwekezaji. China, ingawa ina uchumi mkubwa, bado ina mfumo wa kiuchumi unaodhibitiwa zaidi na serikali.

• Ubunifu na teknolojia: Marekani imekuwa kitovu cha ubunifu na teknolojia kwa muda mrefu. Kampuni kubwa za teknolojia zilizoanzishwa Marekani zimezalisha utajiri mkubwa kwa waanzilishi na wawekezaji wake. Ingawa China inafanya maendeleo makubwa katika teknolojia, bado inafukuzwa na Marekani katika maeneo fulani.

• Uwekezaji wa mtaji wa hatari (Venture Capital): Marekani ina mfumo wa uwekezaji wa mtaji wa hatari ulioendelea zaidi, ambao unasaidia kuanzishwa kwa biashara mpya zenye uwezo wa kukua haraka na kuzalisha utajiri mkubwa.

• Ufikiaji wa mtaji: Ni rahisi zaidi kwa watu binafsi na biashara kupata mtaji Marekani kupitia mikopo ya benki, uwekezaji wa kibinafsi, na masoko ya hisa.

• Uhamaji wa watu wenye vipaji: Marekani imekuwa kivutio cha watu wenye vipaji kutoka duniani kote, ambao hutoa mchango mkubwa kwa uchumi wake.

• Utawala wa sheria: Ingawa Marekani pia ina mapungufu, mfumo wake wa utawala wa sheria unaotabirika zaidi hutoa utulivu wa kiuchumi unaovutia wawekezaji.

• Ugawaji wa utajiri: Ni muhimu kutambua kwamba usawa wa utajiri Marekani ni tatizo kubwa. Idadi kubwa ya matajiri haimaanishi kwamba utajiri unagawanyika sawasawa miongoni mwa idadi ya watu.

Ni muhimu kusisitiza kwamba hizi ni sababu zinazochanganyika na siyo sababu moja tu.

©hatgpt
 
Kila kitu na wakati wake Bill Gate was once a richest man in the world but now yupo nafasi ya Saba akipigwa gape la mbali sana na Elon Musk.
Huyo bado tajili mpaka mwili na roho yake.........ndiye tajiri anayeongoza kwa kutoa pesa zake ........hata huko kushuka ni baada ya kutoa pesa zake nyingi sana .........yaani kwa kifupi bill gate ni tajiri mpaka rohoni
 
Back
Top Bottom