Kuishabikia Arsenal kunahitaji uwe na moyo kama Alshabaab

Hivi hao wachezaji Wa arsenal uliowataja hapo wanalingana uwezo na hao watotot Wa man u ktk ukinda wao? Ulimuona vema scholes, Beckham na giggs enzi za umri huo walochukua ubingwa!?
Hawalingani hata kidogo,cos hawa Class of 92 ni Natural gifted players world class,lakini hawa wakina Iwobi,Ramsey, Elneny,Berellin they r talented so if they put in hard work,they cn achieve what seem 2b impossible
 
Tatizo hao akina Iwobi hawaamini kama wanaweza kushinda..Ni kama wanabahatisha. Kikosi cha arsenal hakina leaders,wachezaji hawako committed na hawana uwezo wa kupambana na Big 5. Yan ni vurugu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…