Kuishi bila kugusa mshahara wake,Makonda anastahili kutumbuliwa haraka

Kuishi bila kugusa mshahara wake,Makonda anastahili kutumbuliwa haraka

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nadhani rais Samia huko aliko anajuta kunrudisha makonda mjini.

Enzi za hayati Magufuli kuna mama mmoja bosi wa kituo cha uwejezaji nchini,alitumbuliwa kwa kosa la kutotumia mshahara wake
Mama huyo alikuwa akifanya kazi inayomlipa sana nje ya nchi,Kikwete akamuomba aje kujenganchi japo kamshahara ka huku alikaona ni hela ya soda japo yalikuwa mamilioni,taharifa zilivyomfikia magufuli,kilichofuata ni kutumbuliwa tu.utaishije bila kugusa mshahara kwa dunia ya leo.

Hivi karibuni makonda huko Arusha alinukuliwa akisema kuwa tangu arudishwe mjini huwa hatumii mshahara wake bali hutumia pesa hizo kutoa sadaka kwa Mungu.

Kwa muktadha huo makonda amejiweka kindi moja na akina Trump,Shabibyna wafanyabiashara wengine.
Atuonyeshe biashara zake au na yeye atumbuliwe.

Hii ni dalili ya mtu kula rushwa ,matrafic wa nchini pia wana haka kamchezo.
hawagusi mishahara sababu ya rushwa barabarani.
 
Anastahili kusema hivyo. Maana kwenye awamu iliyopita alijilimbikizia mali nyingi kupitia njia haramu kama robbery, piracy, looting, forgery, nk.

Ishu ndogo tu ya mgogoro wake wa nyumba na Jii esi emu, na pia yale magari ya kifahari aliyobadilisha mara kwa mara, kuingiza makontena ya kutosha kwa kisingizio dhaifu enzi zile, ni ushahidi tosha.
 
Enzi za hayati Magufuli kuna mama mmoja bosi wa kituo cha uwejezaji nchini,alitumbuliwa kwa kosa la kutotumia mshahara wake
Mama huyo alikuwa akifanya kazi inayomlipa sana nje yanchi,Magufuli akamuomba aje kujenganchi japo kamshahara kahuku
Mkuu naweka tu rekodi sawa unayemuongelea ni Juliet Rugeiyamu Kairuki aliteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji wa TIC na Rais Jakaya Mrisho Kikwete na kutumbuliwa na Rais John Pombe Magufuli
 
Nadhani rais Samia huko aliko anajuta kunrudisha makonda mjini.

Enzi za hayati Magufuli kuna mama mmoja bosi wa kituo cha uwejezaji nchini,alitumbuliwa kwa kosa la kutotumia mshahara wake
Mama huyo alikuwa akifanya kazi inayomlipa sana nje yanchi,Magufuli akamuomba aje kujenganchi japo kamshahara kahuku alikaonani hela ya soda japo yalikuwa mamilioni,taharifa zilivyomfikia magufuli,kilichofuata ni kutumbuliwa tu.utaishije bila kugusa mshahara kwa dunia ya leo.

Hivi karibuni makonda huko Arusha alinukuliwa akisema kuwa tangu arudishwe mjini huwa hatumii mshahara wake bali hutumia pesa hizo kutoa sadaka kwa Mungu.

Kwa muktadha huo makonda amejiweka kindi moja na akina Trump,Shabibyna wafanyabiashara wengine.
Atuonyeshe biashara zake au na yeye atumbuliwe.

Hii ni dalili ya mtu kula rushwa ,matrafic wa nchini pia wana haka kamchezo.
hawagusi mishahara sababu ya rushwa barabarani.
Mshahara lets say ni 3M kwa mwezi lakini pesa chafu ni 100M+ kwa mwezi....
 
Mkuu naweka tu rekodi sawa unayemuongelea ni Juliet Rugeiyamu Kairuki aliteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji wa TIC na Rais Jakaya Mrisho Kikwete na kutumbuliwa na Rais John Pombe Magufuli
Uko sahihi mkuu asante kwa marekebisho
 
Ishi maisha yako. Makonda amefika, nawe pambana umpite alipo. Hakuna mbunge msafi, hakuna dowani msafi. Wasafi ni mawaziri n raisi wetu tu😅😅. Above all, mwanaume kuwa na tabia ya udaku iskinderalarming👊
Kumpita makonda sio mvhezo,ana magorofa Igoma,Capripoint,Buswelu,Arusha,kigambonina mbweni
Magari usiseme
Siwezi kushindana na fisadi mimi
 
Anastahili kusema hivyo. Maana kwenye awamu iliyopita alijilimbikizia mali nyingi kupitia njia haramu kama robbery, piracy, looting, forgery, nk.

Ishu ndogo tu ya mgogoro wake wa nyumba na Jii esi emu, na pia yale magari ya kifahari aliyobadilisha mara kwa mara, kuingiza makontena ya kutosha kwa kisingizio dhaifu enzi zile, ni ushahidi tosha.
Yaani umuhimu wa elimu umeonekana dhahiri,vitu vingie angenyamaza tu lakini anaropoka mpaka anaharibu kila kitu
Dogo sio msafi kabisa
 
Hapo ni tungo tata.
1) tangu aajiriwe hajawahi kuchukua kwenye account mishahara yake yote
2)Amechukua hela lakn watu wengine ndio wanatumia.
Hapa nauliza swali lipi ni kosa hapo?
 
Nadhani rais Samia huko aliko anajuta kunrudisha makonda mjini.

Enzi za hayati Magufuli kuna mama mmoja bosi wa kituo cha uwejezaji nchini,alitumbuliwa kwa kosa la kutotumia mshahara wake
Mama huyo alikuwa akifanya kazi inayomlipa sana nje ya nchi,Kikwete akamuomba aje kujenganchi japo kamshahara ka huku alikaona ni hela ya soda japo yalikuwa mamilioni,taharifa zilivyomfikia magufuli,kilichofuata ni kutumbuliwa tu.utaishije bila kugusa mshahara kwa dunia ya leo.

Hivi karibuni makonda huko Arusha alinukuliwa akisema kuwa tangu arudishwe mjini huwa hatumii mshahara wake bali hutumia pesa hizo kutoa sadaka kwa Mungu.

Kwa muktadha huo makonda amejiweka kindi moja na akina Trump,Shabibyna wafanyabiashara wengine.
Atuonyeshe biashara zake au na yeye atumbuliwe.

Hii ni dalili ya mtu kula rushwa ,matrafic wa nchini pia wana haka kamchezo.
hawagusi mishahara sababu ya rushwa barabarani.
Bora Makonda kaamua kusema ukweli, wateule wote ni mafisàdi na wanakula kwa urefu wa kamba zao
Makonda ni roporopo hawezi kaa kimya anasema ukweli mshahara wàke ni hela ya sadaka tuu. Sasa jiulize hela ya màtumizi ni sh ngapi.
 
Back
Top Bottom