wapo wanandoa wasio na watoto,Sasa kama huna mpango wa kuwa/kupata mtoto unaishi na mwanamke wa nini? Kwanini usile maisha ukiwa unaishi mwenyewe?
hiyo ipo kabisaKuna umri ukifika hata kichaa anatamani kupata mtoto. No majaaliwa ya Mungu tuu kupata au kukosa, lkn ukisema eti mtu apende mpaka asipate mtoto ni urongo mkubwa.
Mimi simjui
Kwa nini unataka kumsema mtu mwingine?Kuna umri ukifika hata kichaa anatamani kupata mtoto. Ni majaaliwa ya Mungu tuu kupata au kukosa, lkn ukisema eti mtu anapenda mpaka kufa eti asipate mtoto ni urongo mkubwa.
Nimesoma utafiti. Wengi wanamatizo, wanajificha kwenye kichaka cha eti tumeamua kutokuzaa. Ni urongo mkubwaKwa nini unataka kumsema mtu mwingine?
Mtu akisema hataki mtoto, wewe ni nani mpaka useme huyo mtu ni muongo?
Unajuaje hisia za mtu mwingine zikoje?
DuhhYeah,
Naunga mkono hoja sio mnazaa zaa kipuuzi kama mambwa na kutelekeza watoto.
Utafiti gani? Weka hapa tuuchambue.Nimesoma utafiti. Wengi wanamatizo, wanajificha kwenye kichaka cha eti tumeamua kutokuzaa. Ni urongo mkubwa
Mkuu spidi yako inatutisha wanachama hadi kupata mtoto napo ni jau ?Ndoa, Mtoto siyo lazima
kwanza dunia yenyewe iko over-populated, watoto jau