Kuishi Geita na Mara ni hatari kwa usalama wako na mali zako

Kuishi Geita na Mara ni hatari kwa usalama wako na mali zako

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Hiii mikoa ni kama imelaaniwa kila kukicha utasikia Mauaji Geita Mauaji Mara imekua kama wimbo sasa. Kuna muda nafikiria kwanini tusiifute hii mikoa tuifanye misitu watu waneuliwa, watu wamevamiwa biashara zao. Polisi wapo ila wapo busy kula rushwa na kuchora ramani na majambazi.

Kuishi Mara na Geita inabidi uwe na ulinzi Bunduki au Bastola pia na mafunzo maalum nawaonea huruma wanaoishi humo.
 
kila sehemu kuna maujaji shida tofuti kuripotiwa tu ungesema hatari kwa mali zako kama mji kasulu ningekuelewa
 
Hiii mikoa ni kama imelaaniwa kila kukicha utasikia Mauaji Geita Mauaji Mara imekua kama wimbo sasa. Kuna muda nafikiria kwanini tusiifute hii mikoa tuifanye misitu watu waneuliwa, watu wamevamiwa biashara zao. Polisi wapo ila wapo busy kula rushwa na kuchora ramani na majambazi.

Kuishi Mara na Geita inabidi uwe na ulinzi Bunduki au Bastola pia na mafunzo maalum nawaonea huruma wanaoishi humo.
Umesahau Moshi na Kilimanjaro pia
 
Nakazia Geita na Mara ( baadhi ya maeneo ) ni sehemu za hovyo mno
 
Ndio mikoa iliyotoa viongozi bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania kwa karne nyingi zijazo.

Pia ndio mikoa tajiri kwa rasilimali Tanzania.

Geita na Mara ni kama Marekani, pamoja na Marekani kuua viongozi na wanasiasa wa nchi nyingine, kuuana, kutekana lakini ndio nchi bora Duniani.

Mkuu ukitaka kuishi vizuri ushikweshikwe makalio nenda Tanga, Zanzibar, Dsm nk. Huko ukifanya ujinga utasikia eti unapakwa mafuta makalioni. Mara na Geita hawana huo ujinga, wanakuondoa Duniani. Hakuna mtu ana muda wa kushika shika mavi yako.
 
Hiii mikoa ni kama imelaaniwa kila kukicha utasikia Mauaji Geita Mauaji Mara imekua kama wimbo sasa. Kuna muda nafikiria kwanini tusiifute hii mikoa tuifanye misitu watu waneuliwa, watu wamevamiwa biashara zao. Polisi wapo ila wapo busy kula rushwa na kuchora ramani na majambazi.

Kuishi Mara na Geita inabidi uwe na ulinzi Bunduki au Bastola pia na mafunzo maalum nawaonea huruma wanaoishi humo.
Kweli kabisa,hali inatisha.
 
Mara Safi Sana ukifika Tarime hapo utakula Bata ukiwa na vyako
Geita fika katoro au Chato Mganza hata
Dar ikasome
Sema ndo ivo usiwe mnyonge jitahidi kukaa kiume
Mtu akizingua mpasue wajue na wewe sio poa
 
Back
Top Bottom