nyumba kubwa tushapotez avingi sana ambavyo vilikuwa vinatuweka kwenye real ndugu
Yaani vile vitu tulivyokuwa tunajivunia vimeushikkilia undugu havipo tena
Tena kwa upande mwingine watu wanawaogopa ndugu zao kupindukia
Maana seme umpe ndugu biashara yako asimamie ndo anakuangusha
ukimpa mtaji afanye biashara ili umnyanyue yeye na yeye awanyanyue wengine ndio kama umempa hela ya kwenda kufanya starehe
Ukisema umpe hata kazi fulani asimamie yeye ndio anashirikiana na wengine kuhakikisha kuwa hiyo kazi haikamiliki au kukuibia
Sijui vile vitu vilitufanya tupendane na tufanye mambo ya maendeleo kunyanyuana vimeishia wapi