M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Ndio ukute kasoma soma na DS 101 mambo ya Gender ndo utakomaNdoa sio kuvaa sare za maua maua zinazofanana.....utalala doro. Suruhisho pekee ni mfumo dume....hata Jehova amebariki hivyo...Baba kichwa cha nyumba...ewe baba mpende mkeo....na wewe mama mtii mumeo
Ds ndio nin?Ndio ukute kasoma soma na DS 101 mambo ya Gender ndo utakoma
Ndio ukute kasoma soma na DS 101 mambo ya Gender ndo utakoma
...wacha nicheke tu,..Sina la kuongeza maana nimeoa nauona moto wake,
Unaweza kuyayusha hata hicho Chuma cha uvumilivu.
..mkuu si ungesema kaa mbali wewe?Achana na wanawake
..hajui huyu,..akileta ligi finito .Mwanaume au mumeo si mtu sahihi wa kwenda nae ligi hata siku moja mtazamo wangu hata Kama kakufanyia ubaya we tafuta njia tu ya kutafuta amani ya moyo wako ila sio eti kafanya hivi na mimi nafanya vile utaumia ww.
Just take care of yourself maradufu tu oga hata Mara kumi fundisha watoto wako kuna ving vya kufanya Kama mwanamke zaidi ya kuleta ligi na mwanaume
Wazo zuri hili mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Tufuate maandiko yanavyotwambia wala hatutapa shida sana...
1. Tumeambiwa mwanamke na amtii mumewe.
2. Mume ampende mkewe.
3. Mwanamke ataibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Ishinini kwa kuchukuliana kwani hakuna mkamilifu chini ya dunia hii. Fanyeni ibada na msiache kuziombea ndoa zenu
Weweeeeee ndoa ni kufuata maandiko yanasemaje kuhusu ndoa na sio kwa kuwa na wewe unaweka mshahara wako mezani ndio uwe na zarau kwa mmeohebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Doh!
Itabidi kwa mwendo huo wa pasu kwa pasu itabidi pia muanze kukojoa mkiwa mmesimama kama sisi
..siyo kukojoza?Doh!
Itabidi kwa mwendo huo wa pasu kwa pasu itabidi pia muanze kukojoa mkiwa mmesimama kama sisi
..nilichojifunza hakuna maisha smooth,..Kiongozi haiwezekani!!!
Usipate msuko suko wowote kwenye ndoa!!!
Hawa viumbe sio wa kawaida kabisaaa!!!
...ila mnatumia sumu au Majambazi,..Haha walituonea tu. Wakisema wanyaki ni wakorofi/wababe ntawaelewa. In fact sisi sio wakorofi, ni tuna misimamo yetu, hatupelekeshwi kidwanzi, tutakurudisha tu mstarini. Afu na miili yetu nayo bana, kitu kimepanda kule, mwili jumba, kono hiloo teh. Kuhusu kurestisha wanaume, haijawahi kuwa sifa yetu honestly,
...muache tu mkuu,..akipewa mimba atatulia...Kwa akili yako hii namuonea huruma sana mume ulienae au mtarajiwa wako!
...Hata nikiwa Mimi ukiniletea ushuzi wako kama unavyouandika hapa sikupi hata dakika,..kwenu na kukublock juu yake.kibaya kipi hapa niliachoandika mpaka utokwe povu hivyo?
..Asante kwa kuwa open mkuu..Its a Fact. Hatutengani ila some characters and behaviors are just unacceptable.
Mmh inawezekana inatokea, but sio kwa extent ya kusema " wanyaki" wapo hivyo. Ni katabia ka mtu mmoja mmoja sana...ila mnatumia sumu au Majambazi,..