Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Ukitaka kumjua mwanamke ni nani, siku akufumanie na kimwamke ambacho amekizidi kwa kila kitu, hapo ndio utajua unakaa na kiumbe chenye nguvu za ajabu ndani..mwanamke ni sawa na bomb, ukilipakata vibaya linakufyatulia mbali...Ila kwa upande wa pili, wanawake ni viumbe dhaifu ki mwili Ila ni strong sana huko kwenye medulla zao..wanaishi na sisi kimachale mno,
 
santeee, ila nadhani ndoa inahitaji uwekezaji sawa sawa na jinsi tunavyowekeza kwenye mabo mengine kama shule, kazi or biashara.. no lelemama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…