Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Endelea kupiga hesab zako vzr,lakin ujue hakuna dunia salama zaid bila kuheshim mwanamke,wala hatuwawez kwa uwezo wa ubongo wao,wala hatuwakaribii hata nusu. Raha ya dunia ni mwanamke tu kubali au kataaa
 
Waambie hao wanafikiri kuwa kichwa lazima uwe mbabe no! Kama nibaba bora watoto watalitambua tu hilo huyu ni baba ukiwa mme bora hakuna dharau kutoka mke
 
Mola tupe uvumilivu na hawa wanawakke
Unazani wanawake hawana shida na hawa wenye vichwa viwili no nawao wanavumilia tu akifikiria kuondoka anaza watoto ngoja nikomae tu mbaba haeleweki kama ni mme au baba wa familia au laa kutwa kuchwa humu jf kulala kuamka humo yote mateso nikuvumiliana tu
 
Kuishi na mwanamke kunahitaji uwe mgumu kama almasi
 
Kweli zama zimepita mwanamke anakuwa na wanaume zaidi ya saba mmewe wa nane anaona sawa.
 
Akiwa na wanaume wa kukusaidia unajifanya hujui ili usishindane na ukuta.
 
No way out
 
NlNA UZI MKALI NASHINDWA NAMNA YA KUPOST NA NI TRUE STORY NIKIWEZA NITAUPOST ACHA NIJIFUNZE KUTUMIA JF KWANZA NA NMEJIUNGA KWASABABU HIYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…