Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Mkuu sema umeoa mwanamke asiesoma bila shaka...
 
Duh !
 
WAPALESTINA ni mwisho wa RELI. Kuna jirani yangu anakula mkong'oto balaa siku majiran kwenda kuulizia tulipatwa na aibu maana jamaa alijificha chumbani
 
Na wanawake walioolewa wanajisahau saana! Anadhani akishavaa shela ndo kazi imeisha! Walegee tu sie tuendelee kuwaibia waume zao [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Hongera,, .
 
Hivi hakunaga testimony nzuri ya ndoa....kila siku negative tu....[HASHTAG]#SIOI[/HASHTAG] ngoja nsake tu mtoto wa pili na mtu fulani.......ika we sasa huu uboya...unaamia ufue wewe...kweli hujawa kichwa bado kukanyagwa.....house girl anafanya usafi chumbani....wife nadhani bado ana akili za kitoto...au kajisahau....endelea kuzifua tu..
 
Kawe mwanaume tu sasa.
 
Najaribu kukusoma, wewe ni miongoni wa wake wenye maneno kama cherehani[emoji3]
Jamaa atakuwa anapata shida, ila wanawake wengi wenye maneno mengi hawadumu kwa ndoa[emoji12]
.
Hata hivyo dawa kubwa ya ndoa ni mwanaume kuwa na wake wawili au zaid,
facts
 
[emoji106]
 
Ni kuvumiliana tu, maisha ya kuishi na mtu mzima aliyelelewa huko na wewe kule yataka moyo Sana. Utamaliza dunia nzima tabia ni zile zile.
 
Yaani hawa huwa wanakuwa wazuri sana nyakati za mwanzo za uchumba na ndoa. Baada ya miaka3 na kuendelea ndio sasa utamtambua vizuri. Yaani utanyooshwa tu. Chezea wanawake wewe! Unarudi nyumbani ukifika getini unajiuliza niingie au nirudi nilikotoka?
 
Yaani hawa huwa wanakuwa wazuri sana nyakati za mwanzo za uchumba na ndoa. Baada ya miaka3 na kuendelea ndio sasa utamtambua vizuri. Yaani utanyooshwa tu. Chezea wanawake wewe! Unarudi nyumbani ukifika getini unajiuliza niingie au nirudi nilikotoka?
Pole. Lkn yawezekana ulianza wewe na yeye anamalizia sasa.
 
Mi mrs wangu ni mlokole kindakindaki ila huwa nakuwa naye makini sana katika maamuzi na kauli zangu.

Kuna wakati huwa najiuliza kuwa huko kanisani wanasali nini. Naishi naye kwa furaha sana maana huwa napotezea mengi ilimradi maisha yasonge.

Kuna wakati najifanya mjinga mpaka wazazi wangu wanashindwa kunielewa wanadhani nimepewa limbwata.

Pamoja na mapungufu aliyonayo mrs, nimejiridhisha huwa hachepuki hivyo hiyo imenifaya nipate nguvu ya kumpotzea hayo mengine.

Kuna wakati siku za mwanzoni mwanzoni mwa ndoa tulikuwa hatujafahamiana vizuri tuliingia kwenye bifu kali lililotikisa ndoa yetu. Namshukuru Mungu tulimalizana wenyewe bila kusuluhishwa na mtu ila i nataka moyo sana.

Kuna wakati najifanya mjinga ili mambo yaende maana migogoro ya ndoa inarudisha sana maendeleo nyuma maana hakuna linalopangika.

Ndoa zinafundisha mengi sana wandugu ila aina ya mwenza umpatae anaweza kukujenga ama kukupoteza kabisa kutokana na kujitambua ama kutojitambua.

Kiujumlla hakuna kanuni maalum ila ni kumwomba Mungu kwa kila siku ianzapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…