Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
faraja iko hapa karibuNi balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
Cha kwanza alibambikiziwa mtoto jamaa akavumilia kwa kuwa anampenda ila vitimbi haviishi jamaa kila akiomba waachane dem hataki ikafikia mda jamaa akabeba beg lake akamuachia kila kitu mdadaMme alikimbia nn?
Hahaaa mtoa mada anacapitalize kwenye failures, duuh!!Aiseee sijutii kuwepo hapa nilipo.
Kama haujatambua kwa nini unaoa au kuolewa,
Na kwa nini awe mtu fulani na siyo fulani.
Baaasi endelea kuzunguka duniani.
hiyo ni harusi sio ndoa.Ndoa si Shela na Suti.
KabiasaaaNdoa si Shela na Suti.
Mambo ni motooo yataka uvumilivu wa kiwango cha juu sanaYaan ndoa ni kero stress za kijinga utumwa . Kuna kiumbe naishi nacho .jamani nimemvumilia kwa kiwango cha zege ila upendo umekwisha sasa .mtu anarudi saa nane yupo zwiiii anataka akute chakula hajaacha hata Mia ukishika cm yake kila cku lazima chozi likutoke .sasa anavyokuchunga hata ukienda dukani tu atakuhoji Kama upo polisi
Mambo mazto shoga angu yan acha tyu hata kusimulia ni shidaaaMbona hutupi mchapo sasa shostii,umeona nn kwanii....[emoji3]