Hiyo ya zamani sasa tungejua ndo ingependeza[emoji23] [emoji23] .....but demi ni she bana!
Hahahaaa. Kabisaaaaa Dada.. ππIla acha tumtetee m-TA mwenzetu.
Na sie wa TA tunavyojua kuchamba....mbona atakayemgusa atapata tabu sana
Ukhuty kichwa chako kimegoma kuamini kama ni ke[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]hahahah leo kiboko
Nimeisoma mara mbili....alikomenti kikonki konki hasaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]unesoma comment yake lkn
Hahahaaa. Mie wala hunipati. πππππNakuja pm kuwatongoza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti anaita kijiji.
Halafu anatutag wale tunaotumia browser basi dkk moja tu tumeshapata ujumbe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ukhuty acha kuita watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu uongeaji wallah demi ni ankoo khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi ujue sijui kinachoendelea?
Ukhuty mbona kamkomalia hivo?[emoji23]
Hahahaaa. Hahahaaaaa. Ntaanguka kwa cheko ujue.hahahah leo kiboko
Alifanyiwa intavuuu??yaani siamin mpk sasa enzi za dj sepetu umesahau wewe@Mzigua 90pita huku kubwa la makonki konk
Mi siwezi kamwe kuwa mwanaume. Haijawahi tokea na haitatokea. Sikumbuki hiyo comment niliiandika katika mazingira gani.
Naanzaje kuwa mwanaume mimi, kwa shida gani niliyonayo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Cc: @ukhuty
Mi hata sijui
Hahahaa. Sijui kawaza nini kwa kweli.
Labda ile post yake vp lakini na wewe umeisoma ukaielewa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mke wake msafi[emoji23] [emoji23] [emoji28] ...alijitoa ufahamu banaaaaah mie najua kutoa huduma kwa mke wangu hahahah
Hahahaaa. Umenikumbusha mbali sana yaani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamni wale tolokuwa kweye jopooo la umbea enzi zile piten mwanacham mwenzet karudisha kadi@shunie ita wambea wote hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja pm kuwatongoza