Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamni wale tolokuwa kweye jopooo la umbea enzi zile piten mwanacham mwenzet karudisha kadi@shunie ita wambea wote hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti anaita kijiji.

Halafu anatutag wale tunaotumia browser basi dkk moja tu tumeshapata ujumbe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

ukhuty acha kuita watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
yaan hat sijui umepatwa na kitu gani ile siku kujufanya mwanaume gafla ya kweli haya anko demi kinachonichanganya zaidi tulisengenyeya wote enzi zile tumeumbuka wambea wote piteni hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi siwezi kamwe kuwa mwanaume. Haijawahi tokea na haitatokea. Sikumbuki hiyo comment niliiandika katika mazingira gani.
Naanzaje kuwa mwanaume mimi, kwa shida gani niliyonayo?[emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: @ukhuty
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamni wale tolokuwa kweye jopooo la umbea enzi zile piten mwanacham mwenzet karudisha kadi@shunie ita wambea wote hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Umenikumbusha mbali sana yaani.

Lilikuwa jopo la wambea hasaa. 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom