Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Uvumiliv na kuish kwa akil kubwa na mke ndo cha msing then kusali na kuomba Mungu hekima bas
 
siamini dada kama ni mndele sio kwa mcomment ule wallah
Mcomment ulikuwa unajieleza kiume...hahaha
Basi kubali mwaya.
Mwenzio si unajua alikuwa anaigiza?
Si unajua humu tukiwa na mihemko tunavaa uhusika wowote.
Hata wa simba au paka...hahaha
 
Hahaaa. Pole mwaya.

Hivyo kama ni me kweli, alikuchooora weee huku anaona jinsi Ke tunapenda ubuyu hadi PM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiuhakika kabisa Demi ni mwanamke ...hiyo comment aliamua kuzingua kivyake vyake tu, so tuendelee kupeana nae maubuyu ni mwenzetu
 
Pole mkuu kakufanyaje wife wako Ila ndoa siku hizi zina changamoto sana aisee sio kwa kuoa tu mchagga hata wengine. Maana ukikaa na kina mama wakikusimulia yanachosha na kwa wanaume case hyo hyo mnatutisha ambao hatujaolewa aisee
Unakuta yeye ni shetani ila anataka kuoa malaika, kwendaaaaa shetani utapata shetani wao laa mapepo
 
Mwanaume una tabia mbovu na chafu then unataka mke mwema eeeh hakika utasubiri sana, na ndoa ndo mtego wako wa kukosa amani
Unakuta yeye ni shetani ila anataka kuoa malaika, kwendaaaaa shetani utapata shetani wao laa mapepo
 
Yani had kinachopikwa hajui majanga haya she has nothing to loose ukute Ana kidumu maana wanawake tukipataga mpango kando hatusikii jambo la yoyote vile
Kuna dada akikosa house girl hapiki wanakula chips na watoto wao mwanaume anafunga safari ya kwenda kula kwao, kuna wanaume wajinga duniani sijui ndiyo kuwahiwa na mke!
 
Kuna comments mwanzo zilikuwaga za kidume nyuzi flani sikutia maanani, Ila hii ya juzi. Ila jf ni ya Kuwa makini kuamini amini watu hovyo sio vzuri
Kiuhakika kabisa Demi ni mwanamke ...hiyo comment aliamua kuzingua kivyake vyake tu, so tuendelee kupeana nae maubuyu ni mwenzetu
 
Hatuku chart sana it was short chart. That's why ku trust mtu jf ni hatari people have hidden agenda
Hahaaa. Pole mwaya.

Hivyo kama ni me kweli, alikuchooora weee huku anaona jinsi Ke tunapenda ubuyu hadi PM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamekutana wote akili hamna. Toka lini chips zikawa msosi hasa kwa watoto
Kuna dada akikosa house girl hapiki wanakula chips na watoto wao mwanaume anafunga safari ya kwenda kula kwao, kuna wanaume wajinga duniani sijui ndiyo kuwahiwa na mke!
 
Ukweli Ni kwamba Ni ngumu sana kwa sisi kuwa na mwanamke mmoja,ndo maana hao wamama wanalalamika kea hiyo jiandae mama,mumeo lazima achepuke tu
Ndiyo akichepuka na mke kulijua hapo ndipo petrol imaongezeka.kwenye ndoa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…