[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]demi analijua hili
Id nyingine kama ipo ni ya kike. Siwezi kupretend mi mwanaume.
Makubwa haya
Sina jibumpk dakika hii sijapat jibu hiv ilikuwaje had ukaandika vile sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani hata wewe??Nakuache kweli na mkeo mrembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani hata wewe??
Na ile birthday yako ya 24 ilikuwa ya kaka ako?.....ila JF[emoji23] [emoji23]Ile kauli ya kusema Mwanaume ndio kichwa cha familia inajidhihirisha. Binasfi mimi kiumri ni mdogo sana nipo under 20 lakini mambo ambayo nasimuliwa humu jukwaani na vituko pamoja na vimbwanga vya NDOA. Sioni kama kuna faida yoyote yenye mantiki ya kuoa
ukisutwa simooo cariha
Na ile birthday yako ya 24 ilikuwa ya kaka ako?.....ila JF[emoji23] [emoji23]
Kwa life style yako ndoa itakuwia ngumu sana,, nani alikuambia kuna mwaume anataka usawa? Mwanamke abaki kuwa chini ya imaya ya mwaume tuu, ndo maana hata vitabu vya mungu vinasema mwaume ni kichwa cha familia. Ndo maana wanawake wengi Wenye kipato mnazalishwa na kuachwa.
Storee za humu mmmmh!....humu Cheka sepa!Hahaaaaa JF Kuna mambo ukute huyo yuko 40s hivi
haya dad tymefurah vya kutosha ulale unono
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamni wale tolokuwa kweye jopooo la umbea enzi zile piten mwanacham mwenzet karudisha kadi@shunie ita wambea wote hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata sijui naanzia wapiii kuna nnHahahaaa. Umenikumbusha mbali sana yaani.
Lilikuwa jopo la wambea hasaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππ eti kikonki konki! Siwezi kuwa na id ya kiumeNimeisoma mara mbili....alikomenti kikonki konki hasaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila hakutumia hii ID hivoo
Hahahaaa. Ama kweli penye watu wazima hapaharibiki neno.Mcomment ulikuwa unajieleza kiume...hahaha
Basi kubali mwaya.
Mwenzio si unajua alikuwa anaigiza?
Si unajua humu tukiwa na mihemko tunavaa uhusika wowote.
Hata wa simba au paka...hahaha
Kijenge moja hiyo mwaya. πππππ.Leo ndo nimejua kuwa kumbe Arachuga moja hiyo
Hahahaaa. Sawa mwaya si wajua tena hasa kwa sie wanawake saa nyingine umbea unaleta afya. ππππKiuhakika kabisa Demi ni mwanamke ...hiyo comment aliamua kuzingua kivyake vyake tu, so tuendelee kupeana nae maubuyu ni mwenzetu