Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Hawa viumbe ni wazuri sana kuwaona machoni kabla haujaanza kuishi nae,ila ukishaanza kuishi nae ndio unaina rangi yake ingine namaanisha upande wao wa pili wa shiling.nimejarubu kubadilisha zaidi ya mara tatu lakini nimekubali yaishe.wote ni hivyo hivyo kelele na maudhi yasiyomithilika..tukae nao kwa makini
IMG_20200311_081829.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke aliwahi kunitukana mm na ukoo wangu woye ndani ya sekunde 60 za maangamizi. Nilipata hasira ila tushukuru nilikuwa mpole sana na Leo hii ndoa inakaribia miaka 10.
FUNZO: vijana kuoa kunataka kifua
Huyo kwangu sekunde ya 23 tu ingemkuta kwenye ulimwengu uliojaa kiza na nyota nyota nyingi kupita maelezo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona wakwe Wana furaha Sana siku ya harusi. Ujue umewatua zigo la misumari (Anonymous)
 
Uchagani mtihani. Kuna msela Mpare kaoa uchagani (Machame to be specific) kajenga nyumba basi kafuma sms kwenye simu ya mkewe wanapanga na mkwe
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
======

Unaweza kutazama mkasa huu ukisomwa ktk Kipind cha JamiiLeo

======

UPDATE: 22 Novemba 2016

Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha.

Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.

**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nyaa.

27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA

29 Januari, 2017
Kujidai kusali kutwa/kucha na kushinda makanisa ni KUTAFUTA MIUJIZA huku haumuheshimu mumeo ni kujidanganya tu.

mzee bado upo kwenye ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom