Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti anaita kijiji.

Halafu anatutag wale tunaotumia browser basi dkk moja tu tumeshapata ujumbe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

ukhuty acha kuita watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi ujue sijui kinachoendelea?
 
Mi siwezi kamwe kuwa mwanaume. Haijawahi tokea na haitatokea. Sikumbuki hiyo comment niliiandika katika mazingira gani.
Naanzaje kuwa mwanaume mimi, kwa shida gani niliyonayo?[emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: @ukhuty
Hahahha
Haya nawe mndele demi ndio nini kutuchanganyia mafaili.

Ngoja nitoe Kange huku, naja kukuchukua.
Mndele Hajar kipindi hiki si ndo jando zinaanza, huko mtaa wa pilj bado?
 
Mi siwezi kamwe kuwa mwanaume. Haijawahi tokea na haitatokea. Sikumbuki hiyo comment niliiandika katika mazingira gani.
Naanzaje kuwa mwanaume mimi, kwa shida gani niliyonayo?[emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: @ukhuty
Au ulichukua uhalisia wa shemeji ukaja vaa mwilini mwako.

Hahahaha.....
Watakuwa walikufananisha mwaya.

We ukhuty...ndo nini mndele jamani.
 
Back
Top Bottom