Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

yaan hat sijui umepatwa na kitu gani ile siku kujufanya mwanaume gafla ya kweli haya anko demi kinachonichanganya zaidi tulisengenyeya wote enzi zile tumeumbuka wambea wote piteni hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaumiza vichwa vyenu bure!
 
wewe siumeniaga waenda hudumia ndoa wewe au sie wewe[emoji30][emoji30][emoji30]
Tumeparaganyika na kugawanyika wengine wako Mbauda na waliobaki wako Ngaramtoni basi muunganiko haupo kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yeye akili kaiweka kwa machangu mchafu tena watu wanao mu amber rutty sasa huyo ni mwanaume au jipu.huo mda wa kuhangaika na changu bora angekaa na wanawe awafundishe homework. Ila yeye Ana mnadi changu. Ndoa nyingi huharibiwa na wanaume
Haaaaa haaaaa kwahiyo kamkia kake anakalokea kwa machangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaaaa eti wanaume design ya delicious hujifanya ke humu. Humu JF Kuna watu wamekutana na mashoga wenye I'd za kike so unaposema utani ur wrong my dear. Ngoja dume lenye I'd lijipendekeze kwako ulete mazoezi uje ukutane naye mbona utajutra.
[emoji88][emoji88][emoji84][emoji84][emoji83]
Ninatoa tahadhari kuwa anayejijua kuwa ni dume asijifanye Ke na kujisogeza kwangu hatobaki salama
 
[emoji88][emoji88][emoji84][emoji84][emoji83]
Ninatoa tahadhari kuwa anayejijua kuwa ni dume asijifanye Ke na kujisogeza kwangu hatobaki salama
Utamfanyaje dume mwenzio?
 
usirudie tena siku ingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimejua kukuhenyesha khaa uncle demi halaf kuwa makini na ile I'd ingine sasa
Nilikuwa nawasaidia wanaume
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio jamani. Mnatangaza kuwa mi ni dume mtafanya nikose wachumba, vibaya hivyo
 
usirudie tena siku ingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimejua kukuhenyesha khaa uncle demi halaf kuwa makini na ile I'd ingine sasa
Id nyingine kama ipo ni ya kike. Siwezi kupretend mi mwanaume.
 
Wanaume wameumbwa kiutawala pamoja na nguvu yote hiyo wakawekewa udhaifu mmoja mapenzi

Hakika nawaambieni hakuna mwanaume jeuri kwa mwanamke mnyenyekevu na hakuna mwanaume mtulivu kwa mwanamke jeuri.

Sasa we jifanye gali la matangazo ndani ya nyumba uone kitakachokukuta
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Ukijaribu kuupinga ukweli utakuletea madhara makubwa, huwezi kusema wewe uwe sawa na mkeo kisa unaleta visenti vyako mezani, Mume ni Kichwa cha familia, hili halina mjadala, sisi tunao wake ambao nao ni watafutaji, lakini hela za mwanamke mwanaume huwezi kuziulizia kwa sababu tunafahamu ni za mwanamke, atazitumia anavyojua mwenyewe, Ole wako uinue kifua juu eti kwa sababu nawe unatoka asubuhi kama mwanaume uone nitakachokufanya, ndio maana wanaume wengi huwazuia wanawake zao kufanya shughuli yeyote kwa sababu ndio huwa chanzo cha madharau ndani ya nyumba,
 
Back
Top Bottom