Kuishi na mke ni zaidi ya kurusha ndege ya kivita

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Tuishi nao kwa akili, haya maandiko sio mm. Mwanamke ameumbwa kupenda, sasa wewe ukienda na mambo yako ndugu utaishia na talaka. Wale hawataki shida yaan kama unajua una tatizo la afya ya akili usikimbilie kuoa.

Kama unajua huna moyo wa upendo usioe. Kama una ubahili usioe, ukilazimisha utashangaaa kila ukirudi unawekewa wimbo wa past langa shetani nitakupigaa na mawe, nitakupigaa

Ukimpenda ukamtunza utasikia wimboo wa wewe ndioo wanguu chaguoooo la mungu nimekuchagua wewe uwe wangu wa maisha

Ndoa sio hirizi kila mtu anaavaa. Kuna watu wanashsinda bar toka wiki ya pili ya ndoa yake. Ukiona mke anandika ma 16 anniversary ya ndoa unabaki kuhamaki huyo ndio mke.

Sema amina yarabi. Hao ndio wake zetu

Tujipongezeee popote tulipo wanaume tuliokomaa na ndoa.
Unstopable husband
 

Your browser is not able to display this video.
 
Mpwa kwema mpwa wangu

Leoo si unajuaaqqqaa siku ya maharishi

Nawakumbusha kama awajaenda kanisani wanaweza kujitqfakari wakaahairishq ndoa zaooooo

πŸ˜‚ mpwa wacha tule monde za afya
Si unaona hapa napiga roadwork napunguza monde, jioni monde kama kawa

Ova
 

Attachments

  • 20240831_090227.jpg
    1.4 MB · Views: 5
Evelyn Salt leo kumekucha na ninyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…