Kuishi na mke ni zaidi ya kurusha ndege ya kivita

Kuishi na mke ni zaidi ya kurusha ndege ya kivita

wale mnaoelekea harusi za ndugu zenu ama mnaoa nankuolewa na watakia barusi njema mkumbukee msikurupuke kufungua zawadi za ndoa bila maombi mna zawadi ya gfriend X kama wote msiseme sijasema....
 
Tuishi nao kwa akili, haya maandiko sio mm. Mwanamke ameumbwa kupenda, sasa wewe ukienda na mambo yako ndugu utaishia na talaka. Wale hawataki shida yaan kama unajua una tatizo la afya ya akili usikimbilie kuoa.

Kama unajua huna moyo wa upendo usioe. Kama una ubahili usioe, ukilazimisha utashangaaa kila ukirudi unawekewa wimbo wa past langa shetani nitakupigaa na mawe, nitakupigaa

Ukimpenda ukamtunza utasikia wimboo wa wewe ndioo wanguu chaguoooo la mungu nimekuchagua wewe uwe wangu wa maisha

Ndoa sio hirizi kila mtu anaavaa. Kuna watu wanashsinda bar toka wiki ya pili ya ndoa yake. Ukiona mke anandika ma 16 anniversary ya ndoa unabaki kuhamaki huyo ndio mke.

Sema amina yarabi. Hao ndio wake zetu

Tujipongezeee popote tulipo wanaume tuliokomaa na ndoa.
Unstopable husband
Huu uzi wanangu kina dronedrake watauchukua kwenye negative impacts tu
 
Mpwa kwema mpwa wangu

Leoo si unajuaaqqqaa siku ya maharishi

Nawakumbusha kama awajaenda kanisani wanaweza kujitafakari wakaahairisha ndoa zaooooo

😂 mpwa wacha tule monde za afya
Daah! Jumamosi kama leo 2015!
Kudediki hii siku😂
 
KUNA MTU ANA TREND FB KALA CHUMA JAMAA KAKIKIMBIA SIKU YA HARUSI OOOH
 

Attachments

  • Screenshot_20240831-135350_Lite.jpg
    Screenshot_20240831-135350_Lite.jpg
    432.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240831-135405_Lite.jpg
    Screenshot_20240831-135405_Lite.jpg
    330.9 KB · Views: 6
Themeji yenu anawakaribishaaa jamani kaniwekea wimbooo wa

hata mm nasemaaa yu mwemaaa yu mwemaa jehovaaa yu mwemaaa yu mwemaa jehovaaaaaa kila siku nasema yu mwemaaaa


Sasa kasirishen hao mwonee wimbo mtakaopewa
 

Attachments

  • 1725104077509.jpg
    1725104077509.jpg
    471.7 KB · Views: 5
Shikamoo aisee! Ushapata experience ya kutosha, ibabidi usikilizwe hoja zako.
2007 nkakimbia nkarudi 2009 upya nikonikoosanaaaa hiii sitokiii hata aje nani..kwasasaa nashaurii tu na kufanya maridhiano pale kunapokuwa na ndoa zenye visa vya tabia nchi....
 
milima na mabonde sanaa una seto
 
Back
Top Bottom