Kuishi na mke ni zaidi ya kurusha ndege ya kivita

wale mnaoelekea harusi za ndugu zenu ama mnaoa nankuolewa na watakia barusi njema mkumbukee msikurupuke kufungua zawadi za ndoa bila maombi mna zawadi ya gfriend X kama wote msiseme sijasema....
 
Huu uzi wanangu kina dronedrake watauchukua kwenye negative impacts tu
 
Mpwa kwema mpwa wangu

Leoo si unajuaaqqqaa siku ya maharishi

Nawakumbusha kama awajaenda kanisani wanaweza kujitafakari wakaahairisha ndoa zaooooo

😂 mpwa wacha tule monde za afya
Daah! Jumamosi kama leo 2015!
Kudediki hii siku😂
 
KUNA MTU ANA TREND FB KALA CHUMA JAMAA KAKIKIMBIA SIKU YA HARUSI OOOH
 

Attachments

  • Screenshot_20240831-135350_Lite.jpg
    432.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240831-135405_Lite.jpg
    330.9 KB · Views: 6
Wapwa kaeni vizuri na wake zenu mbona mnakua ivo lakini
 
Themeji yenu anawakaribishaaa jamani kaniwekea wimbooo wa

hata mm nasemaaa yu mwemaaa yu mwemaa jehovaaa yu mwemaaa yu mwemaa jehovaaaaaa kila siku nasema yu mwemaaaa


Sasa kasirishen hao mwonee wimbo mtakaopewa
 

Attachments

  • 1725104077509.jpg
    471.7 KB · Views: 5
Shikamoo aisee! Ushapata experience ya kutosha, ibabidi usikilizwe hoja zako.
2007 nkakimbia nkarudi 2009 upya nikonikoosanaaaa hiii sitokiii hata aje nani..kwasasaa nashaurii tu na kufanya maridhiano pale kunapokuwa na ndoa zenye visa vya tabia nchi....
 
milima na mabonde sanaa una seto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…