Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
- Thread starter
-
- #21
Nimerekebisha kiasi soma tena uone labda unaweza kuelewaNimeshindwa kuelewa kbs
JmnUmenimix asee hata sijaelewa nimepata wenge sana sana
Nimerekebisha kuasi soma tena uone labda unaweza kuokotamo
Kweli yani sijaweza kuelewa naona kama vitu vinajirudia rudia mpaka anashindwa kuelewa nani ni nani na kipi kinasemwa kumhusu nani
Mkuu umetisha naomba ukojoe ulale tukutane kesho may be maji ya mende yanahusikaNimerekebisha kuasi soma tena uone labda unaweza kuokotamo
Kama kuna mtu kaelewa hii hekaya atakuwa geniuskuna mdogo wangu anamchumba wake ambae process zote za kuoana tayar japo jamaa kaomba hajajipanga kufunga ndoa sasa hv uchumi haujakaa sawa anaomba amchukue kwanza ndoa baadae
bint amepanga kwake mkoa tofauti na jamaa
Sasa jamaa kamuomba akae na mtoto wa Dada
Bint kamaliza form 4 mwaka huu. hataki kurudi kijijin hivyo akae kwa bint siku ya kuolewa ikifika wataenda pamoja kw a jamaa maana jamaa hawez kukaa na ndugu yake kwa sasa anataka kuchukua likizo hivyo akae kwa bidada mpaka akitaka kuolewa ndio atamchukua
Bint anasema kukaa nae sio shida Ila tabia zake ndio shid
Alishawahi kukaa nae anavitabia flan vinakera hana heshima wala uoga anaweza maliza kuoga akachukua nguo yako akavaa bila kuomba yaan anavitabia tu vya ajabu ajabu ukimgombeza kidogo anaanza kulia,,, alishakaa nae mwez 1 alihisi kuumwa sasa hv anataka aje akae mda wote mpaka atakapo pata maisha yake,,,,,
anashindwa amjibuje mchumba wake anaogopa kukataa ataonekana hapend ndugu bado mapema na akikubal anahisi changamoto kubwa bora angekua anakuja kusalimia tu kuliko kuishi nae siku zote
anaomba ushaur afanyeje au amjibu mini jamaa?
Sijui kwanini hii tabia inaibukia huenda kwa sababu na wanawake nao wanatumia tumia vimishahara vyao kununulia nyanya za familia.Wadada mna mentality mbaya sana khs ndugu wa mume, mbona sie tunakaa na ndg zenu hatuna noma wala nini
Nimeshindwa kuelewa kbs
Ipo hivi (najaribu): Chalii una mchumba. Mdogo wako wa kike alomaliza form 4 unataka akakae kwa huyo mchumba maana dogo hataki kurudi kwao. Mdogo wako ni pasua kichwa na hata adabu hana. Mchumba hayupo tayari kwa hilo. Akwambie vipi uelewe bila kuwa na tafsiri kuwa hapendi ndugu zako?Kweli yani sijaweza kuelewa naona kama vitu vinajirudia rudia mpaka anashindwa kuelewa nani ni nani na kipi kinasemwa kumhusu nani
Ha ha haKasoro zenye kasoro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu umetisha naomba ukojoe ulale tukutane kesho may be maji ya mende yanahusika
Due! hv viroba nadhan vimenikataa kabisaHapa kwenyewe sijaelewa
Nakutigo pesa mda c mrefu una akil sanaIpo hivi (najaribu): Chalii una mchumba. Mdogo wako wa kike alomaliza form 4 unataka akakae kwa huyo mchumba maana dogo hataki kurudi kwao. Mdogo wako ni pasua kichwa na hata adabu hana. Mchumba hayupo tayari kwa hilo. Akwambie vipi uelewe bila kuwa na tafsiri kuwa hapendi ndugu zako?
Nakutigo pesa mda c mrefu una akil sana
Ahaa kumbe hivyo tu? Mbona kaandika mambo mengi sana kiasi cha tutulevya akili zetu mida hii ya usiku?Ipo hivi (najaribu): Chalii una mchumba. Mdogo wako wa kike alomaliza form 4 unataka akakae kwa huyo mchumba maana dogo hataki kurudi kwao. Mdogo wako ni pasua kichwa na hata adabu hana. Mchumba hayupo tayari kwa hilo. Akwambie vipi uelewe bila kuwa na tafsiri kuwa hapendi ndugu zako?