Kuishi na ndugu wa mume

Kama kuna mtu kaelewa hii hekaya atakuwa genius
 
Wadada mna mentality mbaya sana khs ndugu wa mume, mbona sie tunakaa na ndg zenu hatuna noma wala nini
Sijui kwanini hii tabia inaibukia huenda kwa sababu na wanawake nao wanatumia tumia vimishahara vyao kununulia nyanya za familia.
 
Akatae, ila ajue akiingia kwenye hiyo ndoa huo ni msalaba wake wa kwanza kudili nao.

Kwa sasa achomoe, huyo dogo akaishi kwao.
 
Hayo ni mapungufu yake tu na nzuri zaidi anaijua vyema tabia ya huyo ndugu wa bwana yake. Yeye akubali kuishi naye tu, Ila matatzo yake yakizidi maji amweleza ndugu yake ili akanywe. Afikiria kama angekuwa mdogo wake yeye na ana hizo tabia au ndugu upande wao angemfukuza.
 
Kweli yani sijaweza kuelewa naona kama vitu vinajirudia rudia mpaka anashindwa kuelewa nani ni nani na kipi kinasemwa kumhusu nani
Ipo hivi (najaribu): Chalii una mchumba. Mdogo wako wa kike alomaliza form 4 unataka akakae kwa huyo mchumba maana dogo hataki kurudi kwao. Mdogo wako ni pasua kichwa na hata adabu hana. Mchumba hayupo tayari kwa hilo. Akwambie vipi uelewe bila kuwa na tafsiri kuwa hapendi ndugu zako?
 
Nakutigo pesa mda c mrefu una akil sana
 
Ahaa kumbe hivyo tu? Mbona kaandika mambo mengi sana kiasi cha tutulevya akili zetu mida hii ya usiku?
 
Huyu shule kidogo ilimpita pembeni...inshort haueleweki
 
dawa ni moha tu amuueleze ukweli kuhusu tabia za huyo ndugu yake,kwani ni vama tatizo kulikabili uso kwa uso,asiogope kusema na akae na huyu ndugu wa mchumba baadae likitokea la kutokea ataambiwa kwanini hukusema,aseme sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…