StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mkuu inaonekana unapenda umwinyi sanaMimi sio mzee wala sio kijana,
Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako,
Sasa sijui wananisalimia mimi kama mimi au kwa sababu ni dokita
Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku
Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam niondoke,salam ikiwa ndefu hata dakika tatu anyanyuki mpaka mmalize.
Hawa ndio wanawake sasa,
Sio mwanamkea anakusalimia kama anakimbizwa
We hupigagi goti?Hao jamaa si wengi ni wakulima na wafugaji,wako kienyeji sana,still primitive
Hawajasoma
Hata mfagizi wanamgipia goti
🤣😂
Utasikia ulimola mayoo🤣🤣
ni wa kuwaoa, ni watu wenye heshima sana na wanaweza kudumu kwenye ndoa. ila kwa uzee wangu huu, kwa experience, sijawahi kutongoza mwanamke wa kisukuma akanikataa. nimeishi sana mikoa hiyo. unaweza kutongoza mchaga akakusumbuasumbua, ila mhaya na msukuma, mhhhhYa kweli ama? So wamama wa kisukuma sio wa kuwaoa kabisa.
Yaani umewashindwa wachaga?unaweza kutongoza mchaga akakusumbuasumbua
Msichana wa miaka 23 anaweza kuwa na watoto wanneUsukumuani kama una miaka 25 na kuendelea ni mtu mzima sana ,maana wanaanza kutafuta maisha pamoja na familia mapema sana kama wazungu.
Usishangae mtu miaka 23 ana watoto hata wawili na kuendelea.
Ongeza na waha hapo kwenye listni wa kuwaoa, ni watu wenye heshima sana na wanaweza kudumu kwenye ndoa. ila kwa uzee wangu huu, kwa experience, sijawahi kutongoza mwanamke wa kisukuma akanikataa. nimeishi sana mikoa hiyo. unaweza kutongoza mchaga akakusumbuasumbua, ila mhaya na msukuma, mhhhh
Wananipigia na kunisalimia kwa adabu zoteWe hupigagi goti?
Aongeze na nyanturu hapo list itimieOngeza na waha hapo kwenye list
Msichana mweupe uko analipiwa mahari kubwa tofauti na singida kwa wanyanturu ambapo unaweza jibebea mwanamke mweupe bure kabisaMimi sio mzee wala sio kijana,
Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako,
Sasa sijui wananisalimia mimi kama mimi au kwa sababu ni dokita
Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku
Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam niondoke,salam ikiwa ndefu hata dakika tatu anyanyuki mpaka mmalize.
Hawa ndio wanawake sasa,
Sio mwanamkea anakusalimia kama anakimbizwa
HV chaliii wew Ni Masai na usemi [emoji1787][emoji1787]Huko hata mtoto mdogo wa kiume anasalimiwa kwa heshima kabisa hata na mmama mtu mzima.
Ni moja wapo ya zile jamii zilizoendekeza sana mfumo dume. Kama sisi Wamasai.