Kuishi usukumani raha sana,wamama watu wazima wananisalimia wakiwa wamepiga magoti kama dakika tatu hivi

Kuishi usukumani raha sana,wamama watu wazima wananisalimia wakiwa wamepiga magoti kama dakika tatu hivi

Mimi sio mzee wala sio kijana,
Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako,
Sasa sijui wananisalimia mimi kama mimi au kwa sababu ni dokita
Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku
Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam niondoke,salam ikiwa ndefu hata dakika tatu anyanyuki mpaka mmalize.
Hawa ndio wanawake sasa,
Sio mwanamkea anakusalimia kama anakimbizwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mkuu inaonekana unapenda umwinyi sana
 
Ya kweli ama? So wamama wa kisukuma sio wa kuwaoa kabisa.
ni wa kuwaoa, ni watu wenye heshima sana na wanaweza kudumu kwenye ndoa. ila kwa uzee wangu huu, kwa experience, sijawahi kutongoza mwanamke wa kisukuma akanikataa. nimeishi sana mikoa hiyo. unaweza kutongoza mchaga akakusumbuasumbua, ila mhaya na msukuma, mhhhh
 
Usukumuani kama una miaka 25 na kuendelea ni mtu mzima sana ,maana wanaanza kutafuta maisha pamoja na familia mapema sana kama wazungu.

Usishangae mtu miaka 23 ana watoto hata wawili na kuendelea.
Msichana wa miaka 23 anaweza kuwa na watoto wanne
 
ni wa kuwaoa, ni watu wenye heshima sana na wanaweza kudumu kwenye ndoa. ila kwa uzee wangu huu, kwa experience, sijawahi kutongoza mwanamke wa kisukuma akanikataa. nimeishi sana mikoa hiyo. unaweza kutongoza mchaga akakusumbuasumbua, ila mhaya na msukuma, mhhhh
Ongeza na waha hapo kwenye list
 
Mimi sio mzee wala sio kijana,
Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako,
Sasa sijui wananisalimia mimi kama mimi au kwa sababu ni dokita
Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku
Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam niondoke,salam ikiwa ndefu hata dakika tatu anyanyuki mpaka mmalize.
Hawa ndio wanawake sasa,
Sio mwanamkea anakusalimia kama anakimbizwa
Msichana mweupe uko analipiwa mahari kubwa tofauti na singida kwa wanyanturu ambapo unaweza jibebea mwanamke mweupe bure kabisa
 
Back
Top Bottom