Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Kama huna uvumilivu na busara utaishia kuzichapa kila siku..
Kuna watu hawajastaarabika kabisa
Hebu ona mfano una mihangaiko yako ya huku na kule unatoka asubuhi unarudi usiku huna hata mda wa kushinda nyumbani.. Siku uko free unaamua uamke asubuhi kufua nguo zako za kutokea ulizovaa mwezi mzima
Umeshazianika zinakaribia kukauka ghafla anatokea jirani na matakataka yake anayawasha.. Moshi unazivaa nguo zako mpaka uishe nguo zote zinanukaa
Halafu ni za ofisini.. Hivi unadeal vipi na hawa watu?
Kuna watu hawajastaarabika kabisa
Hebu ona mfano una mihangaiko yako ya huku na kule unatoka asubuhi unarudi usiku huna hata mda wa kushinda nyumbani.. Siku uko free unaamua uamke asubuhi kufua nguo zako za kutokea ulizovaa mwezi mzima
Umeshazianika zinakaribia kukauka ghafla anatokea jirani na matakataka yake anayawasha.. Moshi unazivaa nguo zako mpaka uishe nguo zote zinanukaa
Halafu ni za ofisini.. Hivi unadeal vipi na hawa watu?