Kuita IFM, DIT, NIT na CBE kama vyuo ni makosa makubwa sana

Kuita IFM, DIT, NIT na CBE kama vyuo ni makosa makubwa sana

Haters wasiotaka kujifunza hawawezi kukubali hili , sheria yao inaelekeza hivyo. Kunauongozi fulani ulilazimisha kila chuo kitoe shahada, ila ni taasisi tu hizi, ni aibu mwanafunzi anasoma IFM alafu anaita CHUO KIKUU.
Unapochanganya ni kusema taasisi haziwezi kutoa shahada... kwani M.I.T haitoi shahada?
 
Haters wasiotaka kujifunza hawawezi kukubali hili , sheria yao inaelekeza hivyo. Kunauongozi fulani ulilazimisha kila chuo kitoe shahada, ila ni taasisi tu hizi, ni aibu mwanafunzi anasoma IFM alafu anaita CHUO KIKUU.
IFM ni Chuo cha usimamizi wa Fedha. Sio Chuo Kikuu.
UDSM ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Kwahio IFM ni chuo ila sio chuo kikuu.

Kuitwa Institute sio tatizo maana duniani huko kuna Institutes kama MIT, California Institute of Technology(CalTech), London Institute for Mathematical Sciences ambazo zina perform vizuri sana.

Hata ukija kwenye sample space yako ya UDSM vs IFM; IFM inatoa Accountants competent kuliko UDSM. Ushahidi ni IFM kuwaburuza UDSM kwenye mitihani ya CPA kwa miaka kadhaa hivi karibuni.

The same UDSM vs DIT vs NIT kwa Engineering courses
 
IFM ni Chuo cha usimamizi wa Fedha. Sio Chuo Kikuu.
UDSM ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Kwahio IFM ni chuo ila sio chuo kikuu.

Kuitwa Institute sio tatizo maana duniani huko kuna Institutes kama MIT, California Institute of Technology(CalTech), London Institute for Mathematical Sciences ambazo zina perform vizuri sana.

Hata ukija kwenye sample space yako ya UDSM vs IFM; IFM inatoa Accountants competent kuliko UDSM. Ushahidi ni IFM kuwaburuza UDSM kwenye mitihani ya CPA kwa miaka kadhaa hivi karibuni.

The same UDSM vs DIT vs NIT kwa Engineering courses
Yaah umeeleza vizuri sana mkuu.

Degree ni zilezile japo inasemekana wale wa institutes wanakua wamebobea kwenye fani husika.
 
Asante kwa elimu

Sasa hapa boya mmoja ajichanganye ajifanye anajua mambo ya institute and University nitamuonesha show

Kumbe mimi elimu yangu nimeichukulia jamiiforum tu
 
Umesahau na Chuo Kikuu Mzumbe, one the best in Africa katika masuala ya Utawala, Sheria na biashara.

Wanafunzi wa chuo hiki tupo nondo balaa katika nyanja za utawala, ukikuta Taasisi alafu haina Hr au Admimistrator kutoka Mzumbe, kimbia haraka.
Hiki chuo wahaya ni wengi ee
 
Back
Top Bottom