Kuita watu Mzee kumesababishwa na nini na pia title ya mzee inaanzia miaka mingapi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hivi huu mtindo wa kuita watu kwa kutanguliza neno "mzee" ni umetokana na nini?

Halafu kwa nini ni wanasiasa tu wanaitwa wazee? Utasikia mzee Kikwete, mzee Mbowe, mzee Kinana, mzee Warioba, Mzee Slaa, Mzee Wasira n.k ila huwezi kusikia mzee Bakheresa, Mzee Janabi, Mzee Rostam!

Kwa nini mzee inatumika kwa wanaume tu? Kwa nini hakuna mzee mama Mongela, mzee mama Nyerere, mzee mama Makinda n.k?
 
Wewe mzee una maroroso!
 
Mimi mbona mwanangu wa miaka 5 namwita mzee,vitu vidogo tu hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…