AfyaKuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Hata wewe?😭........mkutano ni full uzushi!
tema mate chini !Zitto na Mgombea wake wa Urais aliepo uhamishoni Ubelgiji wameumbuka
Nyakati za kampen 2010 Mgombea Urais wa Chadema aliingizwa Mkenge akiwa Shinyanga akaambiwa kuwa RC wa Shinyanga wakati huo kafariki nae akakurupuka kutangaza na Kesho yake kabla ya saa 24 yule RC akaibuka
Igizo la Ugonjwa wa Mpendwa wetu imenidhihirishia kuwa ‘Kitengo’ kimezaliwa upya
Diwani Athumani kacheza vyema sana hili igizo kiasi kwamba ‘akili kubwa’ wote kuanzia Zitto, Lissu na Nyalandu wakaingia Kichwa kichwa!
We jamaa Rais unamuweka battle na Mbunge, ina maana CCM hawana wabunge wa kupambana na Zitto mpaka aende Magufuli ndo akamfunike.Hapo Magufuli siku akienda nakuhakikishia watu wataingia kwa kupanda mpaka hapatatosha.
Zitto wewe ni mnafiki sana, usione umejaza ukavimba kichwa.
2020 hawapo hao tenaKwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Hao watu bila ya kutegemea mitutu na washawasha ni wepesi kama pamba tuKuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Tuwachane na hayo sasa tuzungumzie nyomi ya Omwami Ruyagwa alivyo funika pale KGDah watu wanamachungu kigogo kawaingiza chaka
Kwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Pacha wake Lema hajakuwepo hapo?!........mkutano ni full uzushi!
Hahahaaa....... hahahaaa..... Leo alasiri hawakuamini macho yao!
Kwa staili hii jiwe hata siku moja ataruhusu mikutano ya kisiasa, hata kama ni mikutano ya kampeni za uchaguzi polisi watazuia kwa visingizio vya taarifa za kiintelijinsia.
Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Umma upi? Wa tweeter na JF nenda Youtube then urudi hapa useme hayo unayosema!Jitutumue tu ungeona umma ulivyolipokea jambo hili usingecomment utumbo huu. Jamaa hapendwi hata chembe hata midoli imemchoka.
Phtoshop at it's bestPacha wake Lema hajakuwepo hapo?!........mkutano ni full uzushi!