Zitto na Mgombea wake wa Urais aliepo uhamishoni Ubelgiji wameumbuka
Nyakati za kampen 2010 Mgombea Urais wa Chadema aliingizwa Mkenge akiwa Shinyanga akaambiwa kuwa RC wa Shinyanga wakati huo kafariki nae akakurupuka kutangaza na Kesho yake kabla ya saa 24 yule RC akaibuka
Igizo la Ugonjwa wa Mpendwa wetu imenidhihirishia kuwa ‘Kitengo’ kimezaliwa upya
Diwani Athumani kacheza vyema sana hili igizo kiasi kwamba ‘akili kubwa’ wote kuanzia Zitto, Lissu na Nyalandu wakaingia Kichwa kichwa!
Nyakati za kampen 2010 Mgombea Urais wa Chadema aliingizwa Mkenge akiwa Shinyanga akaambiwa kuwa RC wa Shinyanga wakati huo kafariki nae akakurupuka kutangaza na Kesho yake kabla ya saa 24 yule RC akaibuka
Igizo la Ugonjwa wa Mpendwa wetu imenidhihirishia kuwa ‘Kitengo’ kimezaliwa upya
Diwani Athumani kacheza vyema sana hili igizo kiasi kwamba ‘akili kubwa’ wote kuanzia Zitto, Lissu na Nyalandu wakaingia Kichwa kichwa!