Kuiteketeza CCM jukwaani kunahitaji siku chache tu. Zitto Kabwe afunika Kigoma, uwanja wafurika hadi kuzidiwa

Kwa siasa za udaku na umbea za upinzani

Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu


2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Ndoto, labda kwa udikteta lakini ukweli itabaki palepale Magu kachokwa tena mpaka na wana ccm wenzake ushaidi ni huku mtahani kwetu
 
Wanamshangaa kwa umbea
 
 
Kwa siasa za udaku na umbea za upinzani

Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu


2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
CCM imeshindwa kulipa elimu ya darasani kiasi kwamba hauwezi kutofautisha ACT Wazalendo na Chadema, Zitto ni mbunge wa ACT W. Kigoma.
 
Act wazalendo kwa bara iko ujiji tu hapo anahaha kuokoa jahazi uchaguzi serikali za mitaa asipoteze tumaini pekee alilonalo Tanzania bata
 
Haya yanayoitwa mafuriko ndio huponza na kuleta tahayari wakati wa kutangaza matokeo. Sababu sio wasikilizaji wote ni wapiga kura. kwenye hili kundi wapi wanaostaajabia mhubiri, wapo wapiga debe, wapi wapita njia, wapo mashabiki toka maeneo mengine n.k.
 
Hoja si kubaliana na kukifanyia kazi kile ulichokisema,hoja ni je,maamuzi yao yanaheshimiwa?
Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!

Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
 
This is too low from you.
 
Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!

Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kwani Lowasa hakushinda 2015? Unahitaji degree kulitambua hilo? Tume ya uchaguzi yote ni kibaraka wa ccm, vyombo vyote vya dola ni kibaraka wa ccm.
 
Haya unayaongea toka Kwenye uvungu wa moyo? Au unayasema kwakua wewe ni Ded au wayasema haya kwakua nawe ni Mteule umelewa Madaraka tafakali Kwani hujui Kama drive wetu ni Kichaa siku yoyote usilete ngojera hapa nyie Lumumba hamcherewi kubadili 🆔 muonekane wapya Hapa jukwaani
 
Ndio maana hata kujiandikisha ni ngumu kwani cccm rafu wanazocheza inakuwa ngumu kwenda kubariki unafiki wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…