mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
Kwa wale walioomba nafasi za kazi kupitia sekretariet ya Ajira zikiwemo nafasi za kazi za Mamlaka ya vitambulisho,check majina yenu,then nawatakieni kila la heri katika usaili.Mnatakiwa kujiandaa vizuri,usije ukadhani tayari umepata kazi.Fuatilieni threads kadhaa katika jukwaa hili zinazohusu mambo ya kuzingatia wakati wa usaili.
View attachment sekretarieti Usaili Machi -2[1].pdf
View attachment sekretarieti Usaili Machi -2[1].pdf