Esther Kimario
Member
- Nov 17, 2011
- 62
- 13
Wanajamii, wiki mbili zilizopita niliona thread iliyokuwa inaongelea mada hii. Na wengi kati ya waliochangia walisema bado hawajaita kwa ajili ya kuanza kazi. (Nasikitika sijaiiona na sina uzoefu wa kutosha ku-search kwenye mtandao huu). Binafsi nilihudhuria interview na ilibidi wawasiliane nasi wiki iliyopita. Kwa waliohudhuria interview pale Delloit (trh 17 mwezi uliopita) , je wenzetu mmeshaitwa? Au ndo hizo fununu kuwa serikali haina hela?
Ningefurahi kupata majibu kutoka kwa kundi lililofanyiwa interview na delloit, maana kulikuwa na interview zingine ndogondogo mikoani ambazo hao walishaitwa.
Mchana mwema.
Ningefurahi kupata majibu kutoka kwa kundi lililofanyiwa interview na delloit, maana kulikuwa na interview zingine ndogondogo mikoani ambazo hao walishaitwa.
Mchana mwema.