Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,353
- 815
Wataalam humu JF Kwa kifupi kuna kesi ya ubadhirifu wa fedha za umma inayomhusu mkuu mmoja Idara ya umma ambayo Mimi nilikuwa member wa bodi yake japo sasa sio mjumbe tena, swali langu ni nani anayetakiwa kunilipia posho ya Safari na Malazi kwani Mara kwanza Takukuru waliniita kunihoji ofisini kwao lakini baada ya mahojiano waliniambia hawana fedha nikajigharimia ila sasa wananiita mahakamani kutoa ushahidi sasa hapa nilipo Sina fedha za kujigharimia.Je sio stahili yao TAKUKURU kunilipa posho ya Safari na Malazi kwani ni mahali pa kwenda kulala na kesho ndio uhudhurie mahakamani.
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha