Kuivunja imani ya Kiislam ni ngumu sana Duniani

Kuivunja imani ya Kiislam ni ngumu sana Duniani

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Licha ya wanajeshi makatili wa Israel kuweka vizuizi vingi na vikali, lakini maelfu ya Wapalestina wamehakikisha wanafika kwenye Msikiti wa al-Aqsa na kutekeleza ibada ya Swala ya Idul Hajj ambayo ni katika Sunna zilizotiliwa mkazo mno na dini tukufu ya Kiislamu.

Aidha Swala ya Iddi imeswaliwa katika Msikiti wa Nabii Ibrahim AS mjini al-Khalil, huku maelfu ya Wapalestina wengine wakitekeleza ibada hiyo kando kando ya vifusi vya Misikiti na majengo yaliyobomolewa na mabomu ya Wazayuni.

1718562515693.jpeg

1718562616532.jpeg
 
🤣🤣🤣we kwani miti huenda wapi inapo zeeka je mijusi na panzi huenda wap ikifa?
Nimekuuliza kwann wanaamini hewa kuomba mara tano kwa siku na bado hakuna mabadiliko huko ni kujifariji tu
Huoni mabadiliko? Husikii majeshi yanateketea? Palestina wamenyimwa misaada ya silaha miaka 20. Isreale kapewa zote duniani, lkn leo mwezi 8 sasa USA na UNO wanaomba Hamas wakubali mkataba wa kusitisha vita. Hujaona tu? umeona UKRAIN anavysaidiwa misaada? tumia akili zako usitumie makamasi kufikiri
 
Huoni mabadiliko? Husikii majeshi yanateketea? Palestina wamenyimwa misaada ya silaha miaka 20. Isreale kapewa zote duniani, lkn leo mwezi 8 sasa USA na UNO wanaomba Hamas wakubali mkataba wa kusitisha vita. Hujaona tu? umeona UKRAIN anavysaidiwa misaada? tumia akili zako usitumie makamasi kufikiri
Ko hicho ndo anachoweza kufanya na sala za kila dakika anazopewa kweli na bado mnamkumbatia ??
 
Imani za dini kwa mashariki yati au popote pale duniani ni kama philosophy kuna watu ambao kamwe huwezi kuwa badilisha kuacha amini yao
 
Back
Top Bottom