Kuivunja imani ya Kiislam ni ngumu sana Duniani

Kuivunja imani ya Kiislam ni ngumu sana Duniani

View attachment 3018956
Licha ya wanajeshi makatili wa Israel kuweka vizuizi vingi na vikali, lakini maelfu ya Wapalestina wamehakikisha wanafika kwenye Msikiti wa al-Aqsa na kutekeleza ibada ya Swala ya Idul Hajj ambayo ni katika Sunna zilizotiliwa mkazo mno na dini tukufu ya Kiislamu.


Aidha Swala ya Iddi imeswaliwa katika Msikiti wa Nabii Ibrahim AS mjini al-Khalil, huku maelfu ya Wapalestina wengine wakitekeleza ibada hiyo kando kando ya vifusi vya Misikiti na majengo yaliyobomolewa na mabomu ya Wazayuni. View attachment 3018958
Muda si mrefu Israel itadondosha kitu katikati yao ikiwalenga viongozi wa Hamas
 
Muddy mwenyewe Marioo tu alioa bi aisha ajuza ..
Ni Khadija. Aisha kaliolewa kakiwa na miaka 6 kisha Mudy akakatia kakiwa na miaka 9 kakichezea mdori.. alafu waislam wengine akiwakataza watoto wao wasiwe na midori eti haram yeye karuhusiwa na Allah
 
Weeh una sali vipi mwenzetu mpk unapata?..halafu weeh unamwamini Yesu Mungu au una amini Yesu mwana Mungu au Nabii wa Mungu au unaamini wenzangu na mimi wale wa mafuta au wale wakumuota Yesu?
Tuanzie hapo kwnz weeh una amini vipi yanii
 
Mtume wenu alisema uislam ulianza kidogo na utaisha mdogo na utarudi shimoni kama joke linavyorudi shimoni.. serpamt even Jesus alisema serpant ndie shetani.

Muslim hawajui dini yao ndio maana wanaongea eatakacho kumbe ni against kabisa na Uislam ulivyo
 
mrembo mbona unahangaika sana?
Hahahaha
gettyimages-1134715411-612x612.jpg
 
Mungu hatafutwi kupitia dini ingekuwa hivyo vita ya palestina na israel isingekuwepo ila kwa sababu wameendekeza dini hasa uislam Mungu hawampati na hawaoni
Ndiyo mafundisho ya Nabii wako Tito?
 
Back
Top Bottom