Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
msigwa atakua mkuu wa mkoa,au mkuu,wa wilaya au cheo chochote chenye mshahara wa 5m+
amechanga karata vizuri alikua na option mbili abaki chadema akose pesa au aende ccm apate pesa.
sadly ni kwamba kuna wanaccm kindakindaki yani wafia chama ambao nafas/iteuzi yao imechukuliwa tayari na mtu ambae hastahili kabsa
kadri ccm inavyokea wapinzani kizembe ubora wa chama una pungua.
mfano ccm iseme mwanaupinzani yeyote ahamie ccm lakini hakuna teuzi hakuna atakae hamia ccm
amechanga karata vizuri alikua na option mbili abaki chadema akose pesa au aende ccm apate pesa.
sadly ni kwamba kuna wanaccm kindakindaki yani wafia chama ambao nafas/iteuzi yao imechukuliwa tayari na mtu ambae hastahili kabsa
kadri ccm inavyokea wapinzani kizembe ubora wa chama una pungua.
mfano ccm iseme mwanaupinzani yeyote ahamie ccm lakini hakuna teuzi hakuna atakae hamia ccm