Kuja kwa Msigwa CCM tayari teuzi inamuhusu

Sasa kadiri wanavyokuwa wengi ndivyo pia ubora wa chama unvyopungua. Wao kwa sasa wanaona ni mtaji, lakini in the long run kutatokea rift kati ya 'wenye chama' na 'hawa wakuja' maana sidhani kama wana interests zinazofanana.
 
... sadly ni kwamba kuna wanaccm kindakindaki yani wafia chama ambao nafas/iteuzi yao imechukuliwa tayari na mtu ambae hastahili kabsa ....
Hata CCM wenyewe siyo wajinga kiasi hicho mkuu.

Ukiangalia kwa sasa walishaanza kuwasafisha japo wanaenda kwa taratibu bila mbio, angalia tu kule Lushoto na Singida.

Hiyo nafasi atakayopewa huwa ni ya muda mfupi tu, mfano huyu jamaa akipewa RC hatadumu sana maana next year tunaingia kwenye uchaguzi mkuu ambao after ni mchujo mkubwa wa uongozi ngazi zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…