Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Toka CHADEMA ianze ziara zake nchini, Hoja zake imekuwa zikijadikiwa zaidi kuliko za Bunge.
Suala la kataiba Mpya ambalo lilichagizwa na BAVICHA pale Baracuda limepelekea kuzua mijadala mizito kila kona nchi. Limewaibua mpaka Waziri Kabudi kutoka mafichoni, Kabudi toka ameteuliwa kuwa waziri wa katiba hajawahi ongea na vyombo vya habari mpaka hapo juzi alipojitokeza kuzungumzia hoja hii.
Bunge limekosa mvuto hali inayopelekea hoja zake kuwa hazina mashiko kwa jamii, imefikia mahali Mdude CHADEMA anazungumziwa zaidi kuliko hoja ya kodi ya miamala ya simu Ilipitishwa na Bunge.
Ukiwauliza watu wengi sasa hivi Je Bunge linaendelea? Jibu utakalolisikia kwa wengi hawajui chochote. Hii ni hatari bunge lipo kwenye Bunge muhimu sana wananchi walipaswa kufuatlia na kujua mstalabali wa nchi yao.
Ni watake CHADEMA "shikilia hapo hapo usiachie"
Suala la kataiba Mpya ambalo lilichagizwa na BAVICHA pale Baracuda limepelekea kuzua mijadala mizito kila kona nchi. Limewaibua mpaka Waziri Kabudi kutoka mafichoni, Kabudi toka ameteuliwa kuwa waziri wa katiba hajawahi ongea na vyombo vya habari mpaka hapo juzi alipojitokeza kuzungumzia hoja hii.
Bunge limekosa mvuto hali inayopelekea hoja zake kuwa hazina mashiko kwa jamii, imefikia mahali Mdude CHADEMA anazungumziwa zaidi kuliko hoja ya kodi ya miamala ya simu Ilipitishwa na Bunge.
Ukiwauliza watu wengi sasa hivi Je Bunge linaendelea? Jibu utakalolisikia kwa wengi hawajui chochote. Hii ni hatari bunge lipo kwenye Bunge muhimu sana wananchi walipaswa kufuatlia na kujua mstalabali wa nchi yao.
Ni watake CHADEMA "shikilia hapo hapo usiachie"