Kumbe siku ile kale kaharufu ulikuwa wewe unaachia kaushuzi? Afadhali sasa nimejua, ntakuwa nakaa mbali na wewe! LOLZ! BTW hujambo mshiki? Nimekumisi kweli!Hakuna kitu chenye raha hapa duniani kama kuachia kaushuzi kidogo ni raha ya ajabu asikuambie mtu
Nyani Ngabu...!!!!!
kaka umeamua kutuchekesha leo frihi day? duh - hii ni kali sana. sina comment.Hivi wanyama kama ng'ombe, mbuzi, mbwa, kuku, nk. nao hujamba kama binadamu?