Kujaza uwanja mashabiki wa Yanga walizoea kulipiwa na Yusuf Manji

Wameletewa ushahidi kwamba sio CAF tu bali hata ligi ya nyumbani. Wanabaki tuachieni timu yetu. Mnapoizungumzia Simba kwani timu yenu?Makwasukwasu baridii. Wakibanwa kidogo tu ulimi nje.
Mtani kwani unateseka? πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Huenda nikawa sijui hii kitu Mkuu! Kwani kipimo cha mashabiki kuwa wengi kwenye timu kinapimwa kwa kuingia Uwanjani?
 
Manchester City inaitwa The Citizens...Timu ya watu maana yake Mo na familia yake
 
Huenda nikawa sijui hii kitu Mkuu! Kwani kipimo cha mashabiki kuwa wengi kwenye timu kinapimwa kwa kuingia Uwanjani?
Hapana kinapimwa na uhudhuriaji wao kwenye vibanda umiza. Timu zinagawana mia 9 baada ya mechi halafu unauliza kama timu hizi zina mashabiki?Hata kwenye timu za,wenzetu tickets allocation zinagaiwa kutokana na mashabiki timu inaingiza uwanjani.
 
Sasa nyie hata mechi kubwa ya kimataifa hamjai.
Kweli unaweza ukawa mwananchi lakini usiwe mzalendo.
Simba, This is the next level.
 
Reactions: Tui
Huenda nikawa sijui hii kitu Mkuu! Kwani kipimo cha mashabiki kuwa wengi kwenye timu kinapimwa kwa kuingia Uwanjani?
Ni mojawapo ya kigezo kikuu.
Sasa unasemaje mshabiki wa timu afu Kwenye matukio hupatkani.
Hivi nyie Yanga wote ni ccm. Mana hata uhalisia mnaukataa.
Hii bongo ni timu gani iliongoza kwa wachezaji wake kugoma kwa sababu ya stahiki zao zaidi ya Yanga.
Mkiingia uwanjani mtaisaidia timu kulipa wapiganaji wenu.
" unaweza ukawa mwananchi usiwe mzalendo"
 
Kwahiyo ni kweli Yanga walikuwa wanajaza uwanja.

MTU kusema ss ndo tunajaza uwanja ni uduwanzi kufikiri hakujawahi tokea hapa TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…