Yani Yanga wamekosa ubunifu kabsa, Timu ya wananchi ndo nini sasa?
Hata KMC ambao ndo timu ya wananchi hawajiiti hivi.
Sasa nyie Yanga mnajiita timu ya wananchi, ni wananchi wa wapi? Wa Tanzania?
Na kama ni timu ya wananchi wa Tanzania je, mnafikiri mnaweza mkaifanya Yanga iwe brand ya kimataifa?
Nani mwananchi wa nchi nyingne atakubali kuipenda Yanga ambayo ni timu ya wananchi wa Tanzania?
Kuweni wabunifu, Jipambanueni ninyi ni akina nani?
Wenzenu simba saizi wanajiita ni timu ya watu. Tayri wameshawapiga bao.
Kujiita timu ya watu manake haina mipaka hadi Africa nzima ni watu, dunia nzima ni watu.
Yanga acheni ujanja janja fanyeni kujibrand Sio kuweka vi slogani vyenu vya kipumbavu.
Timu inategemea wanachama afu mnajiita timu ya wananchi, na KMC inayotegemea kodi ya mwananchi ijiitaje sasa?