Kujenga au kununua gari?

Kujenga au kununua gari?

Nyumba kitu gani. Ndinga ndo mpango
 

Attachments

  • IMG20221203143113.jpg
    IMG20221203143113.jpg
    231.3 KB · Views: 4
Sitajenga Nyumba na Wala sitanunua gari
Zote hizo sio Asset ila Liability yaani madeni.

Mimi nitaifanyia biashara haijalishi kama nitapata faida au hasara.
Unasema tu, ngoja uzipate tuone kama hatutakutana sheli
 
Ningewaambia ila huwa sipendi kutoa madini bure maana nikisema hapa wengi watabadili mitazamo yao na kujiona waliwaza ujinga.
 
Sitajenga Nyumba na Wala sitanunua gari
Zote hizo sio Asset ila Liability yaani madeni.

Mimi nitaifanyia biashara haijalishi kama nitapata faida au hasara.
Kupata hasara nako siyo LIABILITY?
 
Back
Top Bottom