Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Gari au kujenga
ππππππUshawahi kuona nyumba imepaki bar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππUshawahi kuona nyumba imepaki bar?
Wakute vijana wanadanganyana huko mjini utatamani uwazabe makofi! Mtu anamilioni 100 anaiingiza yote kwenye biashara. Kwanini usijenge hata nyumba ya 50 millioni unahamia. 20 zungusha kwenye biashara. 30 backup ya lolote. Yani jitu linakwambia halijengi halina kiwanja linafanya biashara. Mji wenyewe dar! Mtaji unaweza kukata usiamini macho yako. Ila ukiwa umejenga hata nyumba simple ya 50 m au 40 una uhakika kwamba hutokuja kudaiwa kodi. Hali ikiwa mbaya unaipangisha unaenda kukaa kwenye nyumba ya kodi nusu ya ile ya kwako ulopangisha ili ujipange upya.Kupata hasara nako siyo LIABILITY?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hela kiasi gani?
Ndo maana huna na hutakaa uwe naloNikinunua gari yani nawafuata hukohuko kwa watembea kwa miguu na kuwabamiza na side mirror kwenye viuno vyao. Halafu naliendesha hadi kijiweni kwa masela nalipaki mbele yao natoka na kukaa juu ya Bonet huku nikicheza cheza na iPhone yangu.
[emoji38][emoji38][emoji38] wapeleke kwenye kiwanja chakoGari muhimu bila gari huli mbususu mie najutia mpaka kesho kununua kiwanja
Ah nyie wanawake mnataka ata kuua kama njemba ina kiwanja. Mnachotaka ni kutua kwenye gari full kipupwe na bby wako anashika shika mapaja..[emoji38][emoji38][emoji38] wapeleke kwenye kiwanja chako
Kwanini umebadilisha ile avatar picha Yako umevaa mini?Ndo maana huna na hutakaa uwe nalo
Wewe unaakili Sana ,,,achana na hao wanakomenti kirahirahisi...mjengo ndio kitu kizito ...Nikipata hela najenga kwanza alaf nikipata hela nyingine najenga tena
πππππJamaa bhana huna msimamo kabisa....nimepitia komenti zako zote ila sijajua upande uliopo...kabisaYaani katika kitu siwezi fanya duniani ni kununua gari ya mamillion. Bora nione wake wanne niwatunze kuliko kuwa na gari la billion.....starehe yangu mbususu sio kuendesha gari la mabilion
Kwa nini mzeya....gari muhimu ila aio gari la billions. Simple as that.πππππJamaa bhana huna msimamo kabisa....nimepitia komenti zako zote ila sijajua upande uliopo...kabisa
HaelewekiππππππππJamaa bhana huna msimamo kabisa....nimepitia komenti zako zote ila sijajua upande uliopo...kabisa
Sio sawaKupata hasara nako siyo LIABILITY?