Kama ni level ground na materials zinapatikana kwa ukaribu inawezekana ila pia inategemea ukubwa wa eneo la ujenzi.Habarini ndugu, naomba kujua nyuma ya vyumba vitatu, kimoja master jiko store, dinning na public tolet kwa milion 10 naweza kusimamisha boma???
Eneo ni Dar es salaam Mpiji Magohe