Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Ni AIBU kwa CHAMA kinachotafuta Ukubwa wa kuwa Chama Kikuu cha Upinzani licha ya kuwa SIO cha UPINZANI kuwahadaa Wanachama wake na Watanzania kwa ujumla kuwa Kimejenga Jengo lake Wakati WAMEPANGA nyumba ya Mtu.
Kama kwenye Jambo Dogo kama hili la Jengo wanadaganya Je Wakipewa Nchi Watadanganya Mangapi? Kwani ACT wangesema WAMEKARABATI Jengo ambalo litakuwa OFISI yao WANGEPUNGUKIWA nini?
Ni AIBU sana na ndio maana wenye AKILI KUBWA walilijua hili na Ujinga wa Watanzania wakaanza Kuvinanga Vyama vingine visivojenga Ofisi zao kumbe ACT inawadanganya.Nakipongeza Sana CHAMA PEKEE cha UPINZANI ambacho ni KIMOJA kwa kujenga OFISI za Mikoani na Wilayani.
Kama kwenye Jambo Dogo kama hili la Jengo wanadaganya Je Wakipewa Nchi Watadanganya Mangapi? Kwani ACT wangesema WAMEKARABATI Jengo ambalo litakuwa OFISI yao WANGEPUNGUKIWA nini?
Ni AIBU sana na ndio maana wenye AKILI KUBWA walilijua hili na Ujinga wa Watanzania wakaanza Kuvinanga Vyama vingine visivojenga Ofisi zao kumbe ACT inawadanganya.Nakipongeza Sana CHAMA PEKEE cha UPINZANI ambacho ni KIMOJA kwa kujenga OFISI za Mikoani na Wilayani.