Hamna namna, lazima iwe hivyo sababu ni ghorofaMkuu tatizo ni plan ya choo, itabidi niweke vya kuflash juu na chini
Mkuu tatizo ni plan ya choo, itabidi niweke vya kuflash juu na chini
Sasa dada yangu si utafute wataalam wa michoro ya majengo wakufanyie usanifuNinawaza jinsi nitakavyopanua ka pensheni kangu wakati sina nguvucya kufanya kazi lakini ninahitaji kula na kutubiwa. Kama mjuavyo social security yetu bado changa kuhudumia wahenga.
Hiki kijumba changu huku kwetu Kwamtogole nikipandishe ili jiwe na vyumba 12 vya kupanga. Sasa tatizo choo cha hawa wa juu nitakiweka wapi?
Huku chini nina vyumba sita ndani na vinne uani pamoja na choo bafu na jiko. Choo cha juu ni lazima kiwe cha kuflash.
Kwani Structural design wa Jengo lako ni unproffesional au? Au undesign mwenyewe au? Mbona siyo kitu cha kusumbua kichwa au labda mada haijajulikana unamaanisha nini?Ninawaza jinsi nitakavyopanua ka pensheni kangu wakati sina nguvucya kufanya kazi lakini ninahitaji kula na kutubiwa. Kama mjuavyo social security yetu bado changa kuhudumia wahenga.
Hiki kijumba changu huku kwetu Kwamtogole nikipandishe ili iwe na vyumba 12 vya kupanga. Sasa tatizo choo cha hawa wa juu nitakiweka wapi?
Huku chini nina vyumba sita ndani na vinne uani pamoja na choo bafu na jiko. Choo cha juu ni lazima kiwe cha kuflash.
[emoji15] [emoji15]Choo kwanini kinakuwa ni tatizo? Hile eneo halina maji kwamba wale wa chini wanatumia choo cha shimo? Maana kama septic tanks tayaro zipo; wa juu si mfumo unapelekwa chini kwa mabomba.
Juu ni lazima flash huwezi weka choo cha shimo ghorofani